Wayo
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 179
- 420
Hii verse tamu.Tatizo sio utajiri, Tatizo ni kulipa gharama za kuwa tajiri ndio huwa tunaogopa wasomi wengi. Ukiwa tayari kulipa gharama za utajiri unakuwa tajiri.
Hii verse tamu.Tatizo sio utajiri, Tatizo ni kulipa gharama za kuwa tajiri ndio huwa tunaogopa wasomi wengi. Ukiwa tayari kulipa gharama za utajiri unakuwa tajiri.
Mkuu umetafakari vema sanaNi mengi huwa yanaongelewa kuhusu elimu ila hitimisho huwa sijawahi kulipata naomba tusaidiane hapa chini wazee??
1. Mfumo wa elimu ndo tatizo?
2. Wasomi ndo wabovu??
3. Je watu waachane na elimu ya darasani??
4. Je tatizo ni elimu, mitahala, mfumo au MTU BINAFSI???
Ukitazama kwa mtazamo wa kibinadamu hutopata jibu ila nakupa fact ukipinga ukweli n huo ............habari wadau..
nilikuwa natazama kwenye tv kipindi cha arobaini ya mtoto wa babu tale.. hiyo nyumba ya babu tale ni ndoto za wasomi wengi kuimiliki.. ni wasomi wachache sana wanaimiliki tena wengi ya hao wachache ni kwa rushwa, na ufisadi.. sio kwa hela halali..
mahojiano ya fella pia nyumbani kwake mbagala... napo maisha yake yanaonekana yana financial freedom kubwa kuliko hata ya kaka yangu ambaye ni lecture mzumbe kwa miaka mingi na ni mbahili sana huyo bro.. ila hana maisha na vitega uchumi kama vya fella.. na bro ana umri mkubwa kuliko fella na amefanya kazi miaka mingi kama mhadhiri
mwisho kabisa kanumba..
hadi mauti inamkuta alikuwa na miaka 28.. ila aliacha kampuni yake... magari kadhaa ikiwemo lexus, na hiace,, na account yake benki ilikuwa na milion 40 savings... je wasomi wangapi wenye miaka 28 wana uwezo wa kuwa na savings ya milion 40... na huku maisha mengine yanaenda kama kawaida tena maisha ya anasa sio ya kula matembele
sijamtaja diamond sababu kila mtu anajua mchango wake..
naomba tuelezane ukweli wasomi tunakosea wapi kiasi ikifika tarehe 23 tu humu thread za mishahara imechelewa zinakuwa nyingi sana,,, na wengine tunakopa hadi elfu 10 ili zisogeze siku mbele..
tutasema ni vipaji hatuna,, je babu tale au fella wana kipaji gani? mbona hawaimbi, wala hawana studio tuseme ni ma producer.. ila wana maisha mazuri tu... je degree zetu zinatusaidia kweli au zinaturudisha nyuma..
kuna thread ya visa humu..watu wengi wanalalamika kunyimwa visa na balozi hasa wa marekani na canada.. na tena wengi ya wanaolalamika ni wasomi wana elimu kubwa sana.. na wanashangaa kina fella, au babu tale wakipeleka documents tu visa wanapewa na wanasafiri mara nyingi kama JK vile kushangaa dunia.. ila wasomi hatuwezi hata kuweka mazingira ya kumshawishi mzungu akupe visa ukatembelee nchi yake
dick sound mfunga mziki wa magari magomeni.. wengi waliokaa magomeni wanamjua na amewahi kuwauzia maji kwenye madumu ya mkokoteni pale magomeni, anasukuma mkokoteni anauza maji kipindi ametoka kwao iringa... angalia leo alipo ana nyumba kibao mpaka mama yake kamjengea nyumba dar... na angalia gari zake anavyozibadili kila mwaka. angalia umri wa dick hata 35 sizani kama amezidi.. hizi degree zinatusaidia kweli au zinatufelisha?
Hio n point kubwaUsiilaumu CCM, ila mimi nichoamini ni kuwa KUAJIRIWA NI UTUMWA.
Mkuu jazia nyama kidogo utuondoe kwenye ukungu unakitu kizut cha kushare na ssTatizo sio utajiri, Tatizo ni kulipa gharama za kuwa tajiri ndio huwa tunaogopa wasomi wengi. Ukiwa tayari kulipa gharama za utajiri unakuwa tajiri.
Wasomi ni kwamba mnasomea utumwa. Yaani skilled labourers. Zamani walikua unskilled labourers.habari wadau..
nilikuwa natazama kwenye tv kipindi cha arobaini ya mtoto wa babu tale.. hiyo nyumba ya babu tale ni ndoto za wasomi wengi kuimiliki.. ni wasomi wachache sana wanaimiliki tena wengi ya hao wachache ni kwa rushwa, na ufisadi.. sio kwa hela halali..
mahojiano ya fella pia nyumbani kwake mbagala... napo maisha yake yanaonekana yana financial freedom kubwa kuliko hata ya kaka yangu ambaye ni lecture mzumbe kwa miaka mingi na ni mbahili sana huyo bro.. ila hana maisha na vitega uchumi kama vya fella.. na bro ana umri mkubwa kuliko fella na amefanya kazi miaka mingi kama mhadhiri
mwisho kabisa kanumba..
hadi mauti inamkuta alikuwa na miaka 28.. ila aliacha kampuni yake... magari kadhaa ikiwemo lexus, na hiace,, na account yake benki ilikuwa na milion 40 savings... je wasomi wangapi wenye miaka 28 wana uwezo wa kuwa na savings ya milion 40... na huku maisha mengine yanaenda kama kawaida tena maisha ya anasa sio ya kula matembele
sijamtaja diamond sababu kila mtu anajua mchango wake..
naomba tuelezane ukweli wasomi tunakosea wapi kiasi ikifika tarehe 23 tu humu thread za mishahara imechelewa zinakuwa nyingi sana,,, na wengine tunakopa hadi elfu 10 ili zisogeze siku mbele..
tutasema ni vipaji hatuna,, je babu tale au fella wana kipaji gani? mbona hawaimbi, wala hawana studio tuseme ni ma producer.. ila wana maisha mazuri tu... je degree zetu zinatusaidia kweli au zinaturudisha nyuma..
kuna thread ya visa humu..watu wengi wanalalamika kunyimwa visa na balozi hasa wa marekani na canada.. na tena wengi ya wanaolalamika ni wasomi wana elimu kubwa sana.. na wanashangaa kina fella, au babu tale wakipeleka documents tu visa wanapewa na wanasafiri mara nyingi kama JK vile kushangaa dunia.. ila wasomi hatuwezi hata kuweka mazingira ya kumshawishi mzungu akupe visa ukatembelee nchi yake
dick sound mfunga mziki wa magari magomeni.. wengi waliokaa magomeni wanamjua na amewahi kuwauzia maji kwenye madumu ya mkokoteni pale magomeni, anasukuma mkokoteni anauza maji kipindi ametoka kwao iringa... angalia leo alipo ana nyumba kibao mpaka mama yake kamjengea nyumba dar... na angalia gari zake anavyozibadili kila mwaka. angalia umri wa dick hata 35 sizani kama amezidi.. hizi degree zinatusaidia kweli au zinatufelisha?
I wanna prove u wrong... Nipe 3 yearsHAYUPO na HATAKUWEPO.
Maana huo umri ndo yuko Masters au anafanya PhD na kazi atakua hajafanya zaidi ya miaka 10, bado mshahara ni mdogo.
Ukizingatia hatuna wasomi wabunifu wa kuweza kupiga hela kabla ya umri huo
Yamoto band!!,ilizurumiwa,we ndugu yangu inaelekea unaishi dar tu,Mzee Mengi,Bakhressa,Mfuruki,Antony Dialo,Lowasa,Ngowi (anamiriki kampuni ya solar ),habari wadau..
nilikuwa natazama kwenye tv kipindi cha arobaini ya mtoto wa babu tale.. hiyo nyumba ya babu tale ni ndoto za wasomi wengi kuimiliki.. ni wasomi wachache sana wanaimiliki tena wengi ya hao wachache ni kwa rushwa, na ufisadi.. sio kwa hela halali..
mahojiano ya fella pia nyumbani kwake mbagala... napo maisha yake yanaonekana yana financial freedom kubwa kuliko hata ya kaka yangu ambaye ni lecture mzumbe kwa miaka mingi na ni mbahili sana huyo bro.. ila hana maisha na vitega uchumi kama vya fella.. na bro ana umri mkubwa kuliko fella na amefanya kazi miaka mingi kama mhadhiri
mwisho kabisa kanumba..
hadi mauti inamkuta alikuwa na miaka 28.. ila aliacha kampuni yake... magari kadhaa ikiwemo lexus, na hiace,, na account yake benki ilikuwa na milion 40 savings... je wasomi wangapi wenye miaka 28 wana uwezo wa kuwa na savings ya milion 40... na huku maisha mengine yanaenda kama kawaida tena maisha ya anasa sio ya kula matembele
sijamtaja diamond sababu kila mtu anajua mchango wake..
naomba tuelezane ukweli wasomi tunakosea wapi kiasi ikifika tarehe 23 tu humu thread za mishahara imechelewa zinakuwa nyingi sana,,, na wengine tunakopa hadi elfu 10 ili zisogeze siku mbele..
tutasema ni vipaji hatuna,, je babu tale au fella wana kipaji gani? mbona hawaimbi, wala hawana studio tuseme ni ma producer.. ila wana maisha mazuri tu... je degree zetu zinatusaidia kweli au zinaturudisha nyuma..
kuna thread ya visa humu..watu wengi wanalalamika kunyimwa visa na balozi hasa wa marekani na canada.. na tena wengi ya wanaolalamika ni wasomi wana elimu kubwa sana.. na wanashangaa kina fella, au babu tale wakipeleka documents tu visa wanapewa na wanasafiri mara nyingi kama JK vile kushangaa dunia.. ila wasomi hatuwezi hata kuweka mazingira ya kumshawishi mzungu akupe visa ukatembelee nchi yake
dick sound mfunga mziki wa magari magomeni.. wengi waliokaa magomeni wanamjua na amewahi kuwauzia maji kwenye madumu ya mkokoteni pale magomeni, anasukuma mkokoteni anauza maji kipindi ametoka kwao iringa... angalia leo alipo ana nyumba kibao mpaka mama yake kamjengea nyumba dar... na angalia gari zake anavyozibadili kila mwaka. angalia umri wa dick hata 35 sizani kama amezidi.. hizi degree zinatusaidia kweli au zinatufelisha?
Ili mtu asikuelewe hapa anahitaji kujifyatua kiasi fulani!Shule zote zinafundisha kuajiriwa.....
wasomi wengi wanafundishwa kuajiriwa ..
ukiweza kujiajiri ni freedom kubwa sana
but kwa kila Babu Tale mmoja au Diamond mmoja alieweza
kuna wengine 200 au zaidi wameshindwa na hali zao mbaya kupita maelezo
So kuajiriwa ni nafuu kuliko kushindwa kujiajiri..ingawa kujiajiri ni better ukiweza fika
Endelea kulia na ccm ,utakuwa hivyo hivyo mpaka unakufaCCM imeshindwa kuweka mazingira rafiki kwa wasomi, CCM ni chama cha hovyo kupita kiasi.