Habari wadau.
Kila mwaka udsm inamwaga vijana graduates wenye degree mbali mbali.
Mzumbe na udom hivyo hivyo.
Ajira ni ngumu wote tunajua, graduates karibu wote wa vyuo hivyo vikuu huwa wanatumia social media mbali mbali.
kizazi cha internet kinatambua kwamba kuna fursa nyingi za kupiga hela na ajira zinapatikana ukiweza kutawala ama kujibrand kwenye mtandao.
1. Vyuoni kuna wadada kibao wana tabia kama za Hamisa mobetto, najiuliza wanakwama wapi kutumia tabia zao hizo hizo Kujibrand na kupiga hela za mtandaoni. Hamisa mobetto form 4 failure anawazidi vipi ujanja dada zetu wenye tabia kama zake waliojaa vyuo vikuu vyetu.
2. Mc Gara B ni mwalimu level ya diploma kasoma zake kigurunyembe teachers college.. kajiongeza kwa kujibrand mtandaoni. Kawa MC mkubwa anapiga hela harusi moja anachaji milioni 4. kwenda kuongea masaa kazaa ukumbini. wasomi wa vyuo vikuu na degree zetu tunakwama wapi kujibrand kwa kutumia elimu zetu tuwe zaidi yake.
3. Millard Ayo na yeye hivyo hivyo. form 4 failure kasoma zake certificate ya journalism tu vyuo vya kienyeji. ila ndie amedominate soko la habari. sababu kuu kajua kujibrand mtandaoni.. udsm inamwaga graduates wenye degree za uandishi wa habari kila mwaka, wanakwama wapi kujibrand kwa kutumia elimu zao wamkimbize millard ayo. maana internet unajibeba mwenyewe kwa content zako
Babu Tale na yeye kajiongeza kadandia umeneja WCB, umembeba mpaka kaenda bungeni, wasomi wa managemet degrees wanamwagwa kila siku na vyuo vikuu vyetu, why hawajiongezi kwenye fursa za ku manage wasanii.
Wasomi tunakwama wapi kutawala ajira za mitandaoni
Kila mwaka udsm inamwaga vijana graduates wenye degree mbali mbali.
Mzumbe na udom hivyo hivyo.
Ajira ni ngumu wote tunajua, graduates karibu wote wa vyuo hivyo vikuu huwa wanatumia social media mbali mbali.
kizazi cha internet kinatambua kwamba kuna fursa nyingi za kupiga hela na ajira zinapatikana ukiweza kutawala ama kujibrand kwenye mtandao.
1. Vyuoni kuna wadada kibao wana tabia kama za Hamisa mobetto, najiuliza wanakwama wapi kutumia tabia zao hizo hizo Kujibrand na kupiga hela za mtandaoni. Hamisa mobetto form 4 failure anawazidi vipi ujanja dada zetu wenye tabia kama zake waliojaa vyuo vikuu vyetu.
2. Mc Gara B ni mwalimu level ya diploma kasoma zake kigurunyembe teachers college.. kajiongeza kwa kujibrand mtandaoni. Kawa MC mkubwa anapiga hela harusi moja anachaji milioni 4. kwenda kuongea masaa kazaa ukumbini. wasomi wa vyuo vikuu na degree zetu tunakwama wapi kujibrand kwa kutumia elimu zetu tuwe zaidi yake.
3. Millard Ayo na yeye hivyo hivyo. form 4 failure kasoma zake certificate ya journalism tu vyuo vya kienyeji. ila ndie amedominate soko la habari. sababu kuu kajua kujibrand mtandaoni.. udsm inamwaga graduates wenye degree za uandishi wa habari kila mwaka, wanakwama wapi kujibrand kwa kutumia elimu zao wamkimbize millard ayo. maana internet unajibeba mwenyewe kwa content zako
Babu Tale na yeye kajiongeza kadandia umeneja WCB, umembeba mpaka kaenda bungeni, wasomi wa managemet degrees wanamwagwa kila siku na vyuo vikuu vyetu, why hawajiongezi kwenye fursa za ku manage wasanii.
Wasomi tunakwama wapi kutawala ajira za mitandaoni