GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 3,760
- 4,816
Poa mkuu, ahsante sanaChangamka utalaumiwa na watoto wako
Poa mkuu, ahsante sanaChangamka utalaumiwa na watoto wako
HaswaSaikolojiko point
Nyinyi wenye dgree ndio mjikague sisi ni wapambanaji kitambo maisha yanakwenda wala hatuchagii kaziKaka jiulize kuna diamond wangapi? Babu tale wa ngapi nchi nzima ? Compare then uje na jibu
Kuajiriwa ni utumwa hasaa yaan una phd then unaanza kumuogopa mtu ujinga gani huuUsiilaumu CCM, ila mimi nichoamini ni kuwa KUAJIRIWA NI UTUMWA.
..Wasomi wengi wanakosea kitu kimoja Kuishi kwa kile walichoaminishwa na makaratasi. na ambao hawakusoma wanaishi kulingana na Mazingira....Hivyo msomi lazima afail kuwa Tajiri kwa sababu anaamini makaratasi na huyu anaamini muda na Mazingira...na wasomi wanatakiwa wajue kuwa huwezi kuwa ndani ya kazi ukilindwa na mshahara alafu utegemee kuja kuwa kama Bakhresa....Toka humo ofisini kwenye kiyoyozi ndiyo Utaitwa TAJIRI...la sivyo baki kuwa bread Winner wa mke na watoto wako hakuna utafanya zaidi ya hivyo.Nyinyi wenye dgree ndio mjikague sisi ni wapambanaji kitambo maisha yanakwenda wala hatuchagii kazi
..Mh!aiseee....Jinsi unavyozidi kusoma ndo jinsi unavyozidi kuutafuta umaskini
Pamoja MkuuWasomi wa Tz hawataki ku risk usomi wao wakajiajiri kama Bill Gates alivyofanya hata chuo asimalize. Pili wasomi wa Tz wanajikweza na hawana nidhamu ya kujituma. Hawawezi kuwa kama Wachina ambao hawachagui kazi (hata biashara ya mahindi ya kuchoma wanafanya). Mwisho wasomi wengi hawana nidhamu ya kudunduliza (to save money for future investment). Msomi wa Tz akiwa na mshahara wa milioni anataka akae nyumba 'ya hadhi yake' anataka "atanue" na mabinti warembo. Hiyo milioni haitoshi. Akienda kozi akapata promosheni ya kupata mshahara milioni mbili anaongeza matumizi mara mbili na haweki hela yoyote. Ndio maana mshahara unapochelewa siku mbili hata huku JF mapovu yanaanza kuwatoka watu. Kamwe mshahara hauwezi kumfanya mtu tajiri.
Upo sahii mkuuShule zote zinafundisha kuajiriwa.....
wasomi wengi wanafundishwa kuajiriwa ..
ukiweza kujiajiri ni freedom kubwa sana
but kwa kila Babu Tale mmoja au Diamond mmoja alieweza
kuna wengine 200 au zaidi wameshindwa na hali zao mbaya kupita maelezo
So kuajiriwa ni nafuu kuliko kushindwa kujiajiri..ingawa kujiajiri ni better ukiweza fika
Unataka hao wasomi nao waingie kwenye biashara ya nganda?habari wadau..
nilikuwa natazama kwenye tv kipindi cha arobaini ya mtoto wa babu tale.. hiyo nyumba ya babu tale ni ndoto za wasomi wengi kuimiliki.. ni wasomi wachache sana wanaimiliki tena wengi ya hao wachache ni kwa rushwa, na ufisadi.. sio kwa hela halali..
mahojiano ya fella pia nyumbani kwake mbagala... napo maisha yake yanaonekana yana financial freedom kubwa kuliko hata ya kaka yangu ambaye ni lecture mzumbe kwa miaka mingi na ni mbahili sana huyo bro.. ila hana maisha na vitega uchumi kama vya fella.. na bro ana umri mkubwa kuliko fella na amefanya kazi miaka mingi kama mhadhiri
mwisho kabisa kanumba..
hadi mauti inamkuta alikuwa na miaka 28.. ila aliacha kampuni yake... magari kadhaa ikiwemo lexus, na hiace,, na account yake benki ilikuwa na milion 40 savings... je wasomi wangapi wenye miaka 28 wana uwezo wa kuwa na savings ya milion 40... na huku maisha mengine yanaenda kama kawaida tena maisha ya anasa sio ya kula matembele
sijamtaja diamond sababu kila mtu anajua mchango wake..
naomba tuelezane ukweli wasomi tunakosea wapi kiasi ikifika tarehe 23 tu humu thread za mishahara imechelewa zinakuwa nyingi sana,,, na wengine tunakopa hadi elfu 10 ili zisogeze siku mbele..
tutasema ni vipaji hatuna,, je babu tale au fella wana kipaji gani? mbona hawaimbi, wala hawana studio tuseme ni ma producer.. ila wana maisha mazuri tu... je degree zetu zinatusaidia kweli au zinaturudisha nyuma..
kuna thread ya visa humu..watu wengi wanalalamika kunyimwa visa na balozi hasa wa marekani na canada.. na tena wengi ya wanaolalamika ni wasomi wana elimu kubwa sana.. na wanashangaa kina fella, au babu tale wakipeleka documents tu visa wanapewa na wanasafiri mara nyingi kama JK vile kushangaa dunia.. ila wasomi hatuwezi hata kuweka mazingira ya kumshawishi mzungu akupe visa ukatembelee nchi yake
dick sound mfunga mziki wa magari magomeni.. wengi waliokaa magomeni wanamjua na amewahi kuwauzia maji kwenye madumu ya mkokoteni pale magomeni, anasukuma mkokoteni anauza maji kipindi ametoka kwao iringa... angalia leo alipo ana nyumba kibao mpaka mama yake kamjengea nyumba dar... na angalia gari zake anavyozibadili kila mwaka. angalia umri wa dick hata 35 sizani kama amezidi.. hizi degree zinatusaidia kweli au zinatufelisha?