Wakati watoto wengi wa umri wa miaka 14 wanajiandaa kuingia shule ya sekondari mtoto Kairan Quazi anajiandaa kuanza safari ya maisha yake ya kikazi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,331
8,254
Katika umri wa miaka 14, Kairan Quazi amekuwa mhandisi wa programu katika kampuni ya Elon Musk SpaceX.
"Sina wasiwasi juu ya uchovu," asema, "kwa sababu haya ni mapenzi yangu. Sio kitu ambacho mtu amenilazimisha kufanya."

kairan.jpg

Wakati watoto wengi wa umri wa miaka 14 wanajiandaa kuingia shule ya sekondari mtoto Kairan Quazi anajiandaa kuanza safari ya maisha yake ya kikazi katika katika kampuni ya mtandao wa satelaiti ya Elon Musk, Starlink, na kumfanya kuwa mhandisi wa programu za anga za juu mdogo zaidi kuwahi kutokea.
Je ukiwa na miaka 14 ulikuwa unafikiria kufanya nini kikubwa?
 
Hahahaha unataka kufananisha bongo na mbele, kazi tu hupati bila experience ata Kama unajua na una uwezo kiasi gani


Tusubili miaka 100 kufika izo level.
 
Huyo mtoto ni unique ulimwenguni kote sio kwa ngozi nyeusi tu.amwzaliwa tofauti na binadamu wengine ni kama walivyo akina Nikola Tesla,Isaack newton Albert Einstein.

Amezaliwa ba unique mind,so don't make comparison.
 
Unadhani babu yako mzaa babu yako kipindi hicho alikuwa anafanya nini ? Alexander the Great alikufa akiwa na miaka 32 tu ila hapo alisha-conquer empires za kufa mtu....

Its all in perspective..., Hata huku Bongo kuna watu wanafanya makubwa..., Kuna story ya jamaa mmoja akiwa na miaka 6 Baba yake amefariki kwenye msiba Mama yake anamwambia wewe ndio umekuwa Baba hao wadogo zako wote waangalie..., Dogo anakwambia hapo hapo alikuwa mtu mzima na utoto ukaisha alianza kuuza karanga na biashara zote zilizo karibu na kujisomesha (kipindi ambacho kusoma / usongo ulikuwa sio deal) sasa hivi ni mtu mwenye kipato cha kutosha na maisha mazuri na wadogo zake wote na mama yake aliweza kuwainua...

Moral of the Story ni mazingira husika na kufanikiwa inategemea unatokea wapi kwa kipofu kuweza kutumia dakika 1 kukimbia mita 100 huenda its more of an effort kuliko Hussein Bolt kukimbia Sekunde anazokimbia....
 
Huyo mtoto ni unique ulimwenguni kote sio kwa ngozi nyeusi tu.amwzaliwa tofauti na binadamu wengine ni kama walivyo akina Nikola Tesla,Isaack newton Albert Einstein.

Amezaliwa ba unique mind,so don't make comparison.
Albert Einstein said, "It's not that I'm so smart; it's just that I stay with problems longer."

Isaac Newton: "if I have seen further [than others], it is by standing on the shoulders of the Giants...

Ofcourse watu wanatofauti ya kumbukumbu na wengine problem moja inawachukua muda mfupi kuliko wengine (ila issue kubwa ni persistent) kama sisi muda wetu tunautumia kwenye indoctrination (Imani) Siasa za Maji Taka na Umbea..., ofcourse tutakuwa wazuri kwenye hayo mambo..., ila wewe kama ungejikita kwenye kuangalia ni vipi mbolea itabokuwa bora ili uweze kuwasaidia / kujisaidia kuzalisha mazao zaidi nadhani by leo ungekuwa una jibu linaloeleweka
 
daaah life isn't fair hata kidogo...at 14 y/o dogo ni muhandisi??
What is fair ?

Unadhani mfano Michael Jackson kuwa Michael na Tiger Woods kuwa Tiger na wale Serena Sisters kuwa walivyo ilikuja kwa urahisi ?

Huenda wakati madogo wengine wanacheza kadome / Tayari Bado / na Chandimu..., Michael alikuwa anapewa chores za kuimba na kufanya rehearsal mpaka sauti inakauka... Now is that fair ?

Who has Better and who has a Raw Deal ?

Its all about Perspective
 
Haishangazi kwa mtu mwenye IQ kubwa na mazingira mazuri ya kumuwezesha kutumia akili yake..
 
Watoto wa kiha umri huo wa 14 wana uzoefu wa miaka 8 kazini.
 
Back
Top Bottom