Maisha ya Arusha sio

Maisha ya Arusha sio

Yaelekea huyu aliondoka arusha 1995!! Anaongelea habari ya unga ltd na ujambazi leo? Haijui hata mitaa hatarishi kwa sasa,ngoja nimdokeze kidogo- pandisha barabara ya sanawari,panda juu kabisa hadi ukute daraja,ukishavuka hilo daraja sasa jiendee tu slow slow,maana muda wowote unakabwa,umeshaisikia kidin'ga? Basi bora usiisikie, (2)panda mianzini kutokea kwenye mataa pale, nenda juu kama kilometa 5 hivi,kuna mtaa kule wakaaji wote wanajuana,ukiwa hueleweki basi wenyeji wanakupora kila kitu mbele ya kadamnasi, in short Arusha ina washamba flani wachache tu (mleta mada akiwemo) ambao hawajawahi kutoka nje ya arusha na ambao wanadhani ni arusha tu ndiyo kuna vibaka,wanadhani ni arusha tu ndiyo kuna wavuta bangi,na wanafikiri ni ujanja kuvuta bangi huku unatembea barabarani,au kutembea na beto na bisibisi wanaona ni uselaaa! Hao washamba wachache ndiyo wanaotuharibia sifa ya kamji chetu!!! Najisikia salama mno kutembea unga ltd saa saba za usiku kuliko kukatiza temeke saa 12 jioni,
Nimecheka sana...eti wenyeji wa huko wote wanajuana
Kiukweli binafsi naiogopa sana arusha licha ya utetez mwingi unaotolewa hapa
 
Great thinker wa kujisifia uhuni na ukorofi wa chuga,.. Acha upopompo wa Arusha wewe,.. Great thinker uwe wewe,..!? Pambaffff
Ndo maana nikakwambia hujaelewa chochote hapo,kwanza una miaka mingapi ?

Hapo bado hujajua mitaa ya wahalifu wanaishi watu wa aina gani,ndo utashangaa zaidi.
 
Ndo maana nikakwambia hujaelewa chochote hapo,kwanza una miaka mingapi ?

Hapo bado hujajua mitaa ya wahalifu wanaishi watu wa aina gani,ndo utashangaa zaidi.
Mtu anaekula chips yai sio wa kubishana nae jombaa, bishana na mwanaume wa Chuganistan anaekunywa damu ya kondoo, sio hao mashost wala viepe
 
Nimecheka sana...eti wenyeji wa huko wote wanajuana
Kiukweli binafsi naiogopa sana arusha licha ya utetez mwingi unaotolewa hapa
Mi mwenyewe naishi huku lakini watu wa huku nawaogopa mbaya kabisa,
Watu wanakunywa damu za kondoo mbichi sio wa kucheza nao jombaa
 
Ndo maana nikakwambia hujaelewa chochote hapo,kwanza una miaka mingapi ?

Hapo bado hujajua mitaa ya wahalifu wanaishi watu wa aina gani,ndo utashangaa zaidi.
Ukishakuwa wa Arusha, akili yako ni mibangi bangi tu.. Kalale chalii,.. Ushakula bangi ya kikatiti...
 
Karibu huku kwetu BUZA
Hata usafiri weetu ni special
IMG-20191204-WA0031.jpeg
 
Arusha ni jiji baya na hatari kabisa, lakini ni ungumu wa maisha na pia wengi wamekata tamaa na maisha.ningtaka kusikia kuhusu miji 3 muhimu, mwanza, kigoma, na iringa na pia morogoro, vipi maisha huko, aliye na taarifa
 
**** mkanganyiko kati ya muarusha na mmasai,mmasai ni aghalabu kumkuta mjini,ila waarusha ndiyo wakaazi wa asili wa arusha mjini(ambayo ndiyo main character kwenye bandiko hili)pamoja na wambulu kwa maeneo ya kuanzia makao mapya hadi kaloleni,huku waarusha wakibaki kwenye mitaa ya pembeni kama unga ltd,marejoo,mbauda,lemara,kijenge,sakina, na kwingineko(enzi hizo mitaa kama njiro na kwa mrombo haikuwepo!!!) Nieleweke vizuri,Haikuwepo, sasa hao waarusha nadhani waliathiriwa na lifestyle ya wageni,hasa kutokea kilimanjaro na meru ya juu huko singisi nk,wakaanza kuona kama wageni wanawapita kimaendeleo huku wakiwa wamesimama,na ndiyo case za ukabaji na uvunjaji wa nyumba ulianza kusikika hapo,baadaye vijana wa kiarusha wasiopenda kujishughulisha na kazi halali wakapata sapoti ya vijana wa Ngarenaro(samahani,lakini ngarenaro ya miaka michache tu ya nyuma ndiyo iliyoongoza kwa binaadamu wavivu) kukiwa na jamii kubwa ya wahamiaji wa kirangi, na hadi leo ukikamata wakabaji kumi,basi sita watakuwa ni waarusha na warangi,sasa hivi hali imebadilika mno,kuna mitaa mingi mipya,kuna wahamiaji wengi kutoka ndani na nje ya tanzania,ile mambo ya kujuana inatokomea kwa kasi(japo bado yapo kwenye maeneo kama huko kidin'ga) karibu arusha mkuu,unga ltd inavunjwa vunjwa,yale majumba mabovu soon hayataonekana barabarani.
Mkuuu sing'isi kitaa chetu ni sehemu salama sana kwa sasa
 
Back
Top Bottom