Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,507
- 94,618
Chuga ipo juu, Hadi wajeda wanavamiwaOyooooo Oyooooo Oyooooo
Chuga ipo juu, Hadi wajeda wanavamiwaOyooooo Oyooooo Oyooooo
aah huko hakuna vibaka kama igoma huk,labda hapo mabatinMlangomoja mkuu.
Mkuuu sing'isi kitaa chetu ni sehemu salama sana kwa sasa
hii ndio chuga mzeeWakuu salama, Sina. Mengi ya kuandika hapa,
Nina. Miaka kadhaa hapa Arusha lakini kuna baadhi ya mambo hunishangaza kidogo
1) Ujambazi, wezi wa hapa hawaogopi chochote, mfno mzuri usiku wa. Leo wameingia kwenye nyumba ya mjeda, mwanamke na mume wake wote ni wajeda lakini cha kushangaza wazee wa kazi wameingia ndani ya ukuta wamechukua piki piki na kusema.
Mwezi Uliopita pia waliingia kwa mjeda mwingine huko kwa morombo wakachukua kombati. Lilikuwa kwenye kamba lime Anika.
2) Ugomvi kidogo mtu anachomoa kisu. Na hapepesi anakupa cha kichwa au cha tumboni. Si mwanamke si mwanaume wote ni visu wanakushikia na hawaogopi.
3) Kubwa zaidi kuliko yote ni Bangi na. Mirungi
Si wanaume si wanawake Bangi na Mirungi huwaambii kitu. Tena Mirungi ya siku hizi wanaagiza Nairobi wanaita wenyewe ndo gredi one
Mijanamke ya hapa kukuta yanapiga mizinga ya nyagi huku yanachanja Yan kawaida sana.
4) No story no ushost kila mtu na laifu Lake, kila mtu hapa anamaindi mambo yake.
Katika mitaa ambayo haikaliki ni matejoo, ugalimi, na Ngarenaro Yan huko hata polisi wamenyoosha mikono.
Japo patrol ya. Polisi ni usiku na. Mchana lakini vijana hawasikii na hawaelewei
Yani dar ilivyokosa "USIRIAZ" mpaka ukitaja hiyo mitaa hatari mtu anadhani unamchekesha eti KITORORI...aisee mburahati apaelewa vizuri.Huko chuga kawaida sana.
Embu waje dar watembelee sehemu hizi
Mburahati ,vingunguti, gongo la mboto, chanika , ukonga moshi bar, yombo buza, mbagala , keko kitoroli , nk.
HahahaaYaelekea huyu aliondoka arusha 1995!! Anaongelea habari ya unga ltd na ujambazi leo? Haijui hata mitaa hatarishi kwa sasa,ngoja nimdokeze kidogo- pandisha barabara ya sanawari,panda juu kabisa hadi ukute daraja,ukishavuka hilo daraja sasa jiendee tu slow slow,maana muda wowote unakabwa,umeshaisikia kidin'ga? Basi bora usiisikie, (2)panda mianzini kutokea kwenye mataa pale, nenda juu kama kilometa 5 hivi,kuna mtaa kule wakaaji wote wanajuana,ukiwa hueleweki basi wenyeji wanakupora kila kitu mbele ya kadamnasi, in short Arusha ina washamba flani wachache tu (mleta mada akiwemo) ambao hawajawahi kutoka nje ya arusha na ambao wanadhani ni arusha tu ndiyo kuna vibaka,wanadhani ni arusha tu ndiyo kuna wavuta bangi,na wanafikiri ni ujanja kuvuta bangi huku unatembea barabarani,au kutembea na beto na bisibisi wanaona ni uselaaa! Hao washamba wachache ndiyo wanaotuharibia sifa ya kamji chetu!!! Najisikia salama mno kutembea unga ltd saa saba za usiku kuliko kukatiza temeke saa 12 jioni,
Acha kusifia upuuzi mkuu!Hii ndio Chuga arifu,ukizingua kidogo unapewa dozi,wanaume wa huku hawarembi kama wa Dar.
Unashangaa mjeda kuibiwa,haushangai wazee wa mzigo kwenda kupiga selfie kwenye kambi ya jeshi,hii Chuganistan.
Kweli mkuu hiyo pointYapo mazuri ya arusha na mabaya yake.. mfano suala la kuchomana visu, bangi na miraa linatakiwa likemewe kwa bidii zotee...
Sawa ila ukija huku kuwa makini,ukileta za kuleta hauna menoAcha kusifia upuuzi mkuu!
Nije Mara ngapi wakati nipo Arusha mida hii.Najua kuwadhibiti watu waliokata tamaa ya maisha!Sawa ila ukija huku kuwa makini,ukileta za kuleta hauna meno