Maisha ya Arusha sio

Maisha ya Arusha sio

Arusha matusi ni lugha ya kawaida na wenyewe haiwashtui hata kidogo,.. Mtu anatukana tusi zito akiwa na watoto wake na mkewe na wao wanachekelea tu, ni kawaida kabisa... Ila tumesahau kwamba hawa watu ni wamasai,.. Kwa asili yao na hizo tabia ni zao,.. Kwahiyo ndivyo walivyo hawatakaa wabadilike na kustaarabika.. Uhuni ndio sifa zao,.. Ndio maana ukiingia Arusha, na ubadilishe driving ya gari yako, hapa utaona vurugu nyingi barabarani na ni ngumu kuzizoea ila ndivyo walivyo... Taa za barabarani kila kukicha zinagongwa kwa ubabe wa kutofata sheria,... Awe mzee, mtoto au mke,. Tabia zao ni sawa,.. Tena wanawake wa Arusha ni wakorofi zaidi ya wanaume,.. Usidandie mke wa Arusha, wana roho mbaya sana hawa viumbe... Ila mimi naishi nao nikiwa najua ni WAMASAI.
People za kule miyeyusho mingi, mavaz wanayovaa ndo kabisaaa , mademu wazur Ila Wana roho mbaya kinyama , uhai wa mtu hauna thamani Arusha, Arusha mazingira na Hali ya hewa safi sana
 
Wakuu salama, Sina. Mengi ya kuandika hapa,
Nina. Miaka kadhaa hapa Arusha lakini kuna baadhi ya mambo hunishangaza kidogo

1) Ujambazi, wezi wa hapa hawaogopi chochote, mfno mzuri usiku wa. Leo wameingia kwenye nyumba ya mjeda, mwanamke na mume wake wote ni wajeda lakini cha kushangaza wazee wa kazi wameingia ndani ya ukuta wamechukua piki piki na kusema.
Mwezi Uliopita pia waliingia kwa mjeda mwingine huko kwa morombo wakachukua kombati. Lilikuwa kwenye kamba lime Anika.

2) Ugomvi kidogo mtu anachomoa kisu. Na hapepesi anakupa cha kichwa au cha tumboni. Si mwanamke si mwanaume wote ni visu wanakushikia na hawaogopi.

3) Kubwa zaidi kuliko yote ni Bangi na. Mirungi
Si wanaume si wanawake Bangi na Mirungi huwaambii kitu. Tena Mirungi ya siku hizi wanaagiza Nairobi wanaita wenyewe ndo gredi one

Mijanamke ya hapa kukuta yanapiga mizinga ya nyagi huku yanachanja Yan kawaida sana.

4) No story no ushost kila mtu na laifu Lake, kila mtu hapa anamaindi mambo yake.
Katika mitaa ambayo haikaliki ni matejoo, ugalimi, na Ngarenaro Yan huko hata polisi wamenyoosha mikono.
Japo patrol ya. Polisi ni usiku na. Mchana lakini vijana hawasikii na hawaelewei

Nilikuwa hapo Arusha last wk!!! Kuna kitu umesahau, kila mtu hasa sehemu za starehe anakuwa kama anatahadhari muda wote kwa lolote!!!! Yaani hamuamini mtu!!!! Pamoja na yote hayo Arusha raha sana!! Pub kama Picnic!! Habari ya mjini!! Nenda The Don!! CocoRiko!!!! Balaa ya Jiji!!!
Kwa Murombo nilienda kula mbuzi na pumbu zake!! Hatareeee!!!!
Nimechafua vijiwe vyao mpaka jamaa wakaanza niona kama mwenzao!!!

Arusha nitarudi tena!!!
 
K
Nilikuwa hapo Arusha last wk!!! Kuna kitu umesahau, kila mtu hasa sehemu za starehe anakuwa kama anatahadhari muda wote kwa lolote!!!! Yaani hamuamini mtu!!!! Pamoja na yote hayo Arusha raha sana!! Pub kama Picnic!! Habari ya mjini!! Nenda The Don!! CocoRiko!!!! Balaa ya Jiji!!!
Kwa Murombo nilienda kula mbuzi na pumbu zake!! Hatareeee!!!!
Nimechafua vijiwe vyao mpaka jamaa wakaanza niona kama mwenzao!!!

Arusha nitarudi tena!!!
Karibu sana Mkuu, Morombo kila jumapili sikosi, kula mbuzi hadi ng'ombe wanavimba
 
People za kule miyeyusho mingi, mavaz wanayovaa ndo kabisaaa , mademu wazur Ila Wana roho mbaya kinyama , uhai wa mtu hauna thamani Arusha, Arusha mazingira na Hali ya hewa safi sana
Wanasemaga unyama unyamani tena usiombe uanze ugomvi na. Mwanamke wa sokoni utajuta mzazi
 
Kingine nilicho ona


5..Watu wa Arusha wanapenda salamu . kila unae pishana nae ana ku salimia ata kama yuko mbari..tofauti na mikoa kama Mwanza kila mtu ana mind issue zake
 
Huku tarime huwezi kujulikana kua wewe Ni mwizi harafu usiku ukalala salama, lazima tukutilie maguu kukunyoosha na ikibidi kuondoka na uhai wako.
 
Njooni Moro tulime, NI awamu ya kazi hii wajamaeni..
 
ni jambo jema kuona mnaiongelea arusha vibaya maana kiuhalisia haiko ivo arusha inaongoza kuishi foreigners wengi kuliko sehemu yoyote tz arusha ni important city in term of tourism and diplomacy afu kuna mtu anasema tunaishi ki primitive
arusha ya visu ni zamani sana m nlikuwa mdogo mnoo mm nimekulia arusha izi mambo za visu zimeisha mnoo sehemu kama ungalimi kulikuwa na vibaka ila sa hv hamna io kitu yani kule ni viwanda tu na ndio njia kuu ya kwenda murrieti na ina foleni sio poa ila hakuna vibaka
yani inshort vitu vingi mnavoviongelea apa ni hadithi tu mtu njoo arusha ishi miezi sita ndio uje na uzi huwezi enda sehemu kutembea wiki kadhaa afu uje na uzi wa kuadisiwa kuna mtu anasema vijana wa arusha hawajui nje ya mkoa wao mkuu nenda mara huko wanalia vijana wa arusha wanachukua fursa zao nenda mikoani huwezi kuta mtaa mzima hamna mtu ya chuga na sio omba omba mkuu sekta ya utaliii 80% iko dominated na watu wa arusha na moshi afu pia arusha ni second au third in power in term of indurstry msiwe unaongelea tu vitu ovyo arusha inajulikana nje ya nchi kuliko dar na ndio inatambulisha zaidi tanzania maana watalii wengi wakifika kia wanajua ni arusha na wakirudi kwao wanaongelea arusha tanzania remind you watalii wengi wanaingilia kia kuliko dar coz dar n bussiness flight nyingi mno najaribu kuichambua arusha in positive way sio izo za ajabu afu mara ndio inaongoza kwa ukulima wa bangi sio arusha na niko mbeya sa hv iyunga ikuti na bangi huku inavutika kama kawaida na visu wanachuo wa must wanachomwa pia arusha ina mapungufu mengi hatukatai na hao vijana wenye meno ya ajabu na fashion za ajabu ndio wana youtube account na wanakula salary remind you baada ya dar vijana wengi maarufu kwenye sanaa n from arusha ukianzia utangazaji ujasiriamali wengi ni role mode wa watu hata mr beneficial anaonyesha uhuni wa arusha na anakula pesa nzury tu
LONG LIVE ARUSHA LONG LIVE TANZANIA AND LOVE TO ALL MY BROTHERS AND SISTERS WA KITANZANIA WOTE SI NI NDUGU TUSIONGELEANA VIBAYA KISA WIVU WA KIMAENDELEO AU NINI TUSSUPOTIANE HATA UJINGA UNAFAIDA JAMAICA NI FAMOUS FOR DRED NA WEED MSISAHAU
 
Watu wa Arusha na Mara tabia zao mama moja baba moya.
Mimi Mara palinishinda. Watu wakaksi, viburi dah shida sana.
Otherwise Arusha ni hewa safi si kama Dar joto uchafu ptuuuu!
 
Yaani sehemu kama hizo siwezi kuishi hata siku 2..... sehemu ambayo haina usalama sio mahali pakuishi kabisa
Huyu anazungumzia mambo ya miaka ya 80 na 90
 
Sasa mbona Wamasai watu poa sana na wanafahamika Nchi nzima?

Kamwe hawawezi kuanza kukuchokoza wewe labda uanzishe ugomvi wewe.

For the first time nakusikia wewe ukisema Wamasai wana roho mbaya.
Arusha matusi ni lugha ya kawaida na wenyewe haiwashtui hata kidogo,.. Mtu anatukana tusi zito akiwa na watoto wake na mkewe na wao wanachekelea tu, ni kawaida kabisa... Ila tumesahau kwamba hawa watu ni wamasai,.. Kwa asili yao na hizo tabia ni zao,.. Kwahiyo ndivyo walivyo hawatakaa wabadilike na kustaarabika.. Uhuni ndio sifa zao,.. Ndio maana ukiingia Arusha, na ubadilishe driving ya gari yako, hapa utaona vurugu nyingi barabarani na ni ngumu kuzizoea ila ndivyo walivyo... Taa za barabarani kila kukicha zinagongwa kwa ubabe wa kutofata sheria,... Awe mzee, mtoto au mke,. Tabia zao ni sawa,.. Tena wanawake wa Arusha ni wakorofi zaidi ya wanaume,.. Usidandie mke wa Arusha, wana roho mbaya sana hawa viumbe... Ila mimi naishi nao nikiwa najua ni WAMASAI.
 
Mmasai ni Mmasai tu,.. Asili haiwezi badilika
Sasa unafikiri kubadilisha asili na tabia yako ndio sifa?

How stupid can you proud of changing your Culture n tradition?

Hiyo ya ukorofi kwa Wamasai na Wameru huwa in old tales

'' People without their culture, origin and past history is like a tree without its root'' by Marcus Garvey
 
Wamasai gani tuna hizi sifa ulizozitaja hapa?
Unawajua Wamasai vizuri?
Acheni ulimbukeni ninyi

Unajua heshima iliyopo baina ya baba, mama na mtoto kwa wamasai? Masai gani unamkuta anatukana mbele ya watoto wanacheka...kwa Taarifa yako kama hujui cha kwanza kwenye Umasai ni heshima ( Enganyit) Na hili linahusisha tabaka zote
Arusha matusi ni lugha ya kawaida na wenyewe haiwashtui hata kidogo,.. Mtu anatukana tusi zito akiwa na watoto wake na mkewe na wao wanachekelea tu, ni kawaida kabisa... Ila tumesahau kwamba hawa watu ni wamasai,.. Kwa asili yao na hizo tabia ni zao,.. Kwahiyo ndivyo walivyo hawatakaa wabadilike na kustaarabika.. Uhuni ndio sifa zao,.. Ndio maana ukiingia Arusha, na ubadilishe driving ya gari yako, hapa utaona vurugu nyingi barabarani na ni ngumu kuzizoea ila ndivyo walivyo... Taa za barabarani kila kukicha zinagongwa kwa ubabe wa kutofata sheria,... Awe mzee, mtoto au mke,. Tabia zao ni sawa,.. Tena wanawake wa Arusha ni wakorofi zaidi ya wanaume,.. Usidandie mke wa Arusha, wana roho mbaya sana hawa viumbe... Ila mimi naishi nao nikiwa najua ni WAMASAI.
 
Yaelekea huyu aliondoka arusha 1995!! Anaongelea habari ya unga ltd na ujambazi leo? Haijui hata mitaa hatarishi kwa sasa,ngoja nimdokeze kidogo- pandisha barabara ya sanawari,panda juu kabisa hadi ukute daraja,ukishavuka hilo daraja sasa jiendee tu slow slow,maana muda wowote unakabwa,umeshaisikia kidin'ga? Basi bora usiisikie, (2)panda mianzini kutokea kwenye mataa pale, nenda juu kama kilometa 5 hivi,kuna mtaa kule wakaaji wote wanajuana,ukiwa hueleweki basi wenyeji wanakupora kila kitu mbele ya kadamnasi, in short Arusha ina washamba flani wachache tu (mleta mada akiwemo) ambao hawajawahi kutoka nje ya arusha na ambao wanadhani ni arusha tu ndiyo kuna vibaka,wanadhani ni arusha tu ndiyo kuna wavuta bangi,na wanafikiri ni ujanja kuvuta bangi huku unatembea barabarani,au kutembea na beto na bisibisi wanaona ni uselaaa! Hao washamba wachache ndiyo wanaotuharibia sifa ya kamji chetu!!! Najisikia salama mno kutembea unga ltd saa saba za usiku kuliko kukatiza temeke saa 12 jioni,
kabisa
 
Wew huijui arusha itakuwa wemwenyewe n wakuja tena mgen kabisa arusha ya Sasa watu wamepoa Sana arusha ya zaman Ndio ilikuwa hatar tena danger
 
Back
Top Bottom