Hii kitu sio kweli. Unajidanganya au umedanganywa. But It's human nature to justify your weaknesses
Ni illusion tu inakutokea na unaiamini sababu uko emotionally weak.
A man controls his fate, huwezi nambia eti malaya mmoja ndo kashikilia mafanikio yako.
Amka acha kuwa zwazwa