maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
Poleni na majukumu wananzengo
Mambo ambayo binafsi nakereka sana sema kwa sababu ya system nashindwa kuamua na sina pa kupereka
Wazazi kuforce vijana wao tuoe, kila mtu ana akili yake bhana, muache mtu aishi anavoona yeye sahihi
Kuona watu wakipinga starehe za watu mfn pombe, ganja na madawa sipendi kabisa kwa sababu kila mtu anakituchake anachokipenda we kunywa soda mi ntakunywa beer sio kupangiana maisha
Kununua gari kabla ya kujenga nyumba, wengi wao wanatafsiri hii kitu kama ushamba ila kiuhalisia kila mtu anakipaumbele chake kulingana na mazingira yake tuache kupangiana bwana
Vilio vya dada zetu kuhusu vibamia na kutofikishwa kileleni, apa niwaambie tu dada zangu hamuezi badirisha uhalisia kwa kulalamika hakuna mwanaume aliejiumbia hio dick hiyo ameumbiwa tu na iko hivo kwa sababu ya mazingira alokulia, wazungu wameturahishia ukiona huridhiki na mwenza wako nunua dildo kulingana na ukubwa wa uke wako na uitumie utakavyo sie wanaume tuna mambo mengi ya kufanya sio tu kukufikisha we
Kujiona we uko sahihi kuliko mwenzio hiki kitu sitakubaliana nacho hadi nakufa, kwa kifupi ni kua kila mtu yuko sahihi ki upande wake Koo tusisumbuane ishi uaminivyo tuepuke mijadala isiyo na maana
All in all muda ndo mwalimu mzuri, usihangaike kumuelekeza mtu kitu chochote kile, mda huwa haudanganyi
Mambo ambayo binafsi nakereka sana sema kwa sababu ya system nashindwa kuamua na sina pa kupereka
Wazazi kuforce vijana wao tuoe, kila mtu ana akili yake bhana, muache mtu aishi anavoona yeye sahihi
Kuona watu wakipinga starehe za watu mfn pombe, ganja na madawa sipendi kabisa kwa sababu kila mtu anakituchake anachokipenda we kunywa soda mi ntakunywa beer sio kupangiana maisha
Kununua gari kabla ya kujenga nyumba, wengi wao wanatafsiri hii kitu kama ushamba ila kiuhalisia kila mtu anakipaumbele chake kulingana na mazingira yake tuache kupangiana bwana
Vilio vya dada zetu kuhusu vibamia na kutofikishwa kileleni, apa niwaambie tu dada zangu hamuezi badirisha uhalisia kwa kulalamika hakuna mwanaume aliejiumbia hio dick hiyo ameumbiwa tu na iko hivo kwa sababu ya mazingira alokulia, wazungu wameturahishia ukiona huridhiki na mwenza wako nunua dildo kulingana na ukubwa wa uke wako na uitumie utakavyo sie wanaume tuna mambo mengi ya kufanya sio tu kukufikisha we
Kujiona we uko sahihi kuliko mwenzio hiki kitu sitakubaliana nacho hadi nakufa, kwa kifupi ni kua kila mtu yuko sahihi ki upande wake Koo tusisumbuane ishi uaminivyo tuepuke mijadala isiyo na maana
All in all muda ndo mwalimu mzuri, usihangaike kumuelekeza mtu kitu chochote kile, mda huwa haudanganyi