hahaha yan utadhani wameambiwa wakifa ndo wanaenda kuwa mabilionea..wakuu hali ngumu kwa kila mtu,tusijiue
hahahaa huyu chongoe yuko amejaa tele....unafanya mchezo na kifo mkuu..Mbona hii siikumbuki, ona sasa lo niliukosa ubwabwa masikini, nyie roho mbaya mliufinya peke yenu.
Hana maana, nilikaa na ndizi zangu mpaka zikaota kutu, pilipili na ndimu nilizitumia kwenye Korona.hahahaa huyu chongoe yuko amejaa tele....unafanya mchezo na kifo mkuu..
[/QUOTE
Ah afadhari, tupashane siku Mungu akimpenda, anakaa mtaa gani ili niwe namfuatilia na mimi.
Si mpaka ajitose ukweli sasa?? Unadhani kufa mchezo??Mbona hii siikumbuki, ona sasa lo niliukosa ubwabwa masikini, nyie roho mbaya mliufinya peke yenu.
Naomba siku ya siku tujulishane mapema ili ninunue ndizi, pilipili mwendokasi na maji ya kandoro.Si mpaka ajitose ukweli sasa?? Unadhani kufa mchezo??
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini.
Nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule alikokuwa kabla hajazaliwa ndiko anarudiHuko unakojitosea ndyo una uhakika maisha yatakua poa ?, rudi huko tupambane mpaka kieleweke, giza likizidi ndyo kunakucha mkuu, haina kukata tamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa tulizo nazo mwamba yupo mbinguni anafutafuta vitiMwamba sijui alipepea kweli!
AiseeeKwa taarifa tulizo nazo mwamba yupo mbinguni anafutafuta viti