Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Any update plz

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini.

Nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna milioni 50 hapa za kuanzisha maisha please badilisha maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuombea kwa Mungu uzingatie baadhi ya ushauri wa wadau, kujiua sio suluhisho kila tatizo lina solution yake duniani.
 
Mkuu,kwann mtu kama kiduku lilo asijitokeze na kusaidia watu wenye uhitaji hapa Jf akazd kubarkiwa zaidi na mali alizonazo maana simuoni kabsaa akijitolea kwa lolote au ndo wale wakujifanya wanacho kumbe majanga tu et. Maana simuelewi huyu jamaaaa
Shida sio huyo jamaa kiduku shida nikwamba sheria na kanuni za ulimwengu zinasema lazima uweke usawa wa uzito ili mzani uwe sawa
ningumu kunielewa hapa kama umeikimbia elimu dunia
 
Back
Top Bottom