Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Binti mmoja alighadhibika baada ya mama yake kumkemea juu ya tabia zake mbaya.
Binti yule akaamua kujiua.
Baada ya muda babaye alirudi.
Mazungumzo yakawa ifuatavyo:
baba:Mwanangu yuko wapi?
Mama:Yupo chumbani kujiua!
Baba akakimbilia chumbani,alipomkuta binti ametoa mimacho!
Baba:We vipi?
Bint:nimeamua kujiua!
Baba:umemeza nin?
Bntanado 50.
Baba:Kwa nini usimeze hiz sumu 5 za panya ufe haraka?
Bnt:Haaaa baba!UNATAKA KUNIUA BURE!!
Binti yule akaamua kujiua.
Baada ya muda babaye alirudi.
Mazungumzo yakawa ifuatavyo:
baba:Mwanangu yuko wapi?
Mama:Yupo chumbani kujiua!
Baba akakimbilia chumbani,alipomkuta binti ametoa mimacho!
Baba:We vipi?
Bint:nimeamua kujiua!
Baba:umemeza nin?
Bntanado 50.
Baba:Kwa nini usimeze hiz sumu 5 za panya ufe haraka?
Bnt:Haaaa baba!UNATAKA KUNIUA BURE!!