Yeah! Ukiwa lelemama ni lazima yakunyooshe adabu.Maisha ni uwanja wa fujo
Afu yananyoosha hata ukiwa na tabia ya uvivu unajikuta unaiachaYeah! Ukiwa lelemama ni lazima yakunyooshe adabu.
Hakika, njaa ikikulamba lazima utachangamka tu.Afu yananyoosha hata ukiwa na tabia ya uvivu unajikuta unaiacha
Uvivu huwa tunauonesha tukiwa kwa wazazi tu
STORY BOOKJichanye udhulumu uone kama ni ubabe ndo utajua hujui amini hutokaa upate amani kwako na familia yako kiujumla. Usidanganywe wale hulipitia na kulipia mengi ni swala la muda tu. Nawengi si wa wazi kuusema ukweli wa maumivu hupitia baada ya kufanya dhulma kwa watu
Ndio ukweliView attachment 3531059
Life is a bxxch and then you die.
Ngojea niichukue hii ndugu yanguKufanikiwa maisha na unyonge havijawahi kaa sentensi moja!.
Unyonge wa namna gani au una manisha kukosa uthubutu au ujasiri wa kulivaa jambo? Ila naamini humanishi kudhulumu watu haki zaidi ni kufanya jambo kwa ujasiri ukiwa na hofu ya Mungu pia.Kufanikiwa maisha na unyonge havijawahi kaa sentensi moja!.
Share pdf mkuuAikooo, Everything is FCKED,
Shoot your shot. #C.hater
Wazungu walioua mababu zetu na kudhulumu rasilimali zetu, walipatwa na nini?Jichanganye udhulumu uone kama ni ubabe ndo utajua hujui amini hutokaa upate amani kwako na familia yako kiujumla. Usidanganywe wale hupitia na kulipia mengi ni swala la muda tu. Nawengi si wa wazi kuusema ukweli wa maumivu hupitia baada ya kufanya dhulma kwa watu
Dunia katili sanaView attachment 3531059
Life is a bxxch and then you die.