maneka
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 835
- 1,193
Mbinu ni kulikubali tu tatixo na kuounguza masulia ya wanawake wasio kuwa na maana kila saa wanataka mizinga !! Kidogo utajikwamua hali ni ngumu sana kitaa
sent from toyota Allex
Halimi nyanya ila Kikwete ndiyo alikua analima nyanya ndiyo maana ktka utawala wake nyanya hujifukia uko
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya awamu ya tano ina roho mbaya. Yani Jiwe na genge Lake utadhani mapepo.
Inakuwaje mkaldayoJoh Copenhagen
Inakuwaje mkaldayo
Nashauri huyu jamaa aongezewe miaka mingine kumi ili tuzoee hali hii.Inakuwaje mkaldayo
Nashauri huyu jamaa aongezewe miaka mingine kumi ili tuzoee hali hii.
Hali ndio hii. Tulie,tucheke hamna kinachobadilikaUnajisikiaje na hali
Alisikika jamaa mmoja anaekaa kwa shemeji yake akisema!MAISHA SIO MAGUMU NYIE WAPIGA DILI TUNAMAJUA TOKA KITAMBO HAMTUSTUI
Yani maisha yamekuwa dhahma tupu...next term of five years mbona tutakoma...mpaka miundo mbinu ikae poa...nitakuwa kwenye 60s tayariHatimaye kesho narudi zangu Perth kuendelea na vibarua vyangu vya kuchunga kondoo.
Hali ya maisha ya Watanzania wenzangu ni ngumu kupindukia. Si mijini wala vijijini pote ni vilio utadhani Taifa liko vitani,watanzania wamekata tamaa na wengi wao wame run crazy baada ya kufilisika Biashara zao na kufukuzwa kazi kwa uonevu eti walifoji vyeti wakati mfukazaji mkuu naye Elimu yake imejaa utata.
Ugumu wa maisha ya Tanzania kwa sasa hauna Tofauti na Burundi na Somalia.
Burundi ukimkosoa Nkurunzinza unapotea Kama ilivyo Tanzania, nimeenda Burundi family nyingi zimepoteza ndugu kwa kuwa wapinzani wa Nkurunzinza.
Hakuna tena pa kushika Tanzania, mzunguko wa pesa umekufa na pesa haina thamani tena. Vijana wamechanganyikiwa kwa ugumu wa maisha huku wakikimbilia CCM ili kusifia wapenda sifa ili wapate kula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ujumbe umefika.Wabongo mnajua ku exaggerate mambo [emoji23] eti kama somalia. Somalia mnapajua nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Bidhaa gan imepanda bei tofauti na chakula sababu bei ya chakula inaathiriwa na vitu vingi tu.
Hapo inabidi akufafanulie mkulima
GT bana huna huruma kwa watanzania wenzakoNashauri huyu jamaa aongezewe miaka mingine kumi ili tuzoee hali hii.
.
Hali ya maisha ya Watanzania wenzangu ni ngumu kupindukia. Si mijini wala vijijini pote ni vilio utadhani Taifa liko vitani,watanzania wamekata tamaa na wengi wao wame run crazy baada ya kufilisika Biashara zao na kufukuzwa kazi kwa uonevu eti walifoji vyeti wakati mfukazaji mkuu naye Elimu yake imejaa utata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pamoja na uchumi wako hata sio fani zetu kweli inawezekana vitabu vinakwambia ivo lakin nafikili hukurefrect zaidi katika ualisia naona umejikita kwenye theory zaidi unaposema kwamba ukiongeza mishahara wawekezaji watakimbia gharama za uendeshaji .Hivi kwa mishahara ya hapa nyumbani kwamba labda kimo cha chini iwe lki 6 kwa mwezi alafu mwekezaji ataki kuja sasa ni mwekezaji au mwekezaji uchwara ambao wengine hufika hata mtaji hawana bali ujanja janja mbona kenya watumishi angalau wanalipwa vizuri na pesa yao iko juu inamaana kenya hakuna wawekezajiHilo la kuongeza mishahara lina madhara kwenye uchumi. Wawekezaji siku zote hutafuta nchi yenye gharama ndogo za uzalishaji; na gharama hizo ni pamoja na mishahara. Hata hivyo bado gharama zinazoendana na ajira ziko juu sana mfano kwa mwenye mshahara wa TZS 1,000,000 Gharama anayopata mwajiri ni TZS 1,000,000 + Pension 100,000 + SDL 45,000 + WCF 10,000 + NHIF (option) 30,000 = TZS 1,185,000. Hii SDL na WCF nazo zungefutwa tuu maana zinafanya gharama za kuwekeza Tanzania kuwa juu.