Chai imeanza sasa.
Mwakibolwa alipambana na M23 na wala sio ADF.
We hadithia tu khs Safari yako hayo mengine utaanza kutunywesha chai ya motoooo.
Acha ujuaji, M23 ndiyo iyo ya Sultan Makenga ila ndani ya Congo kuna waaasi wengi mno wakiwemo ata ao Adf na wengineo sasa kuna wakati haujui unapigana na M23, au maimai au Naru au wengineo sasa unaweza jikuta unaisi unapigana na M23 kumbe unapigana na Maimai....na apa kwenye aya mapigano ya M23 akumbukwe General wa Congo marehemu mamadou Ndala