maisha mapya!

maisha mapya!

daisyvicky

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2012
Posts
343
Reaction score
198
Week iliyopita nimeanza rasmi maisha mapya baada ya kumaliza shule..ah ndani ya week moja Tu nayaona magumuu.
Nahisi kua soo lonely,namiss marafiki nliosoma nap japo twawasiliana kwa simu
Kuna mda naona kama sijielewii..sijui hata najiskiaje..
. Wakuu wenye busara napenda kusikia namna mlivocope na hiki kipindi cha transition toka uanafunzi to ufanyakazi na especially wakati mnatafuta kazi.regards!
 
Kwani ulivyomalizaga form 6 ilikuaje?? Kumbe na wewe umemaliza Udsm ennhh
 
Kwani ulivyomalizaga form 6 ilikuaje?? Kumbe na wewe umemaliza Udsm ennhh

nlivomaliza six nlikua mdogo so nlikua Tu nyumbani..sijamaliza udsm vyuo vingi tayari wamegraduate
 
Angalia usije ukaanza kusukuma msuba...
 
Week iliyopita nimeanza rasmi maisha mapya baada ya kumaliza shule..ah ndani ya week moja Tu nayaona magumuu.
Nahisi kua soo lonely,namiss marafiki nliosoma nap japo twawasiliana kwa simu
Kuna mda naona kama sijielewii..sijui hata najiskiaje..
. Wakuu wenye busara napenda kusikia namna mlivocope na hiki kipindi cha transition toka uanafunzi to ufanyakazi na especially wakati mnatafuta kazi.regards!

following are rules to follow after school..

1. Uwe unaeenda magengeni ili ubane hela za vocha
2. Uwe unaenda church au msikitini ili ubane hela ya sadaka
3. Mpotezee demu wako hasa kama ni mpenda hela
4. Uwe unaomba safari hasa za mkoani ili upate hela

sawa mkuu sio unalialia tu..
 
following are rules to follow after school..

1. Uwe unaeenda magengeni ili ubane hela za vocha
2. Uwe unaenda church au msikitini ili ubane hela ya sadaka
3. Mpotezee demu wako hasa kama ni mpenda hela
4. Uwe unaomba safari hasa za mkoani ili

sawa mkuu sio unalialia tu..

haha sawa mkuu..meacha kulialia..but hizo rules zimeniacha hoi..aksante ntazifanyia kazi
 
kipindi unasoma! Hukujiweka na utiyari wa maisha ya mtaani!!! We ni Me au Ke!! Kama ni Me siuoni cha ajabu kubaliana na khali uliyonayo kwa sasa!
 
kipindi unasoma! Hukujiweka na utiyari wa maisha ya mtaani!!! We ni Me au Ke!! Kama ni Me siuoni cha ajabu kubaliana na khali uliyonayo kwa sasa!

mambo ni tofauti na expectation za wengi wetu so inatupa wakati mgumu kucope..mi mdada
 
Kama unapenda michezo au mazoezi basi ni muda mzuri wa kufanya hivyo...
Unaweza ukaanza routines za gym au jogging etc...

hahaha my brother..siwezi kufanya hivo japo an idle mind z d devilz workshop..najitahidi kujikeep busy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom