Mbunge wa Msalala au veeepeee,Ndio mm hapa unasemaje ndugu?Mbunge na waziri mstaafu mmoja E.M majina yake,toka moja ya jimbo shinyanga.Nilikua na3 harusini alikua busy na Jf sana.
Hahaha chief nipo mkuu siku hizi nimeamua kuwa international obserever mambo mengi na muda ni mchache.Hahaha... hawa wazee wajanjaa saana.
Alijua utamharibia.
sumbai kaenda wapi! Simwoni kabisa.
Na wewe naona umeonaurudi kwenye uhalisia wako.
Tutabanana hapahapa mjini. Haendi mtu maporiniTehteh..haya umeshinda.
Naona mkoloni kawaiteni Idodomya muhamie kabla ofisi haijakamilika. Ubakie huko huko tuachie wa hapa mjini.
AhsanteHahah...kama haujui unielezeje acha nimekusamehe.
I get youSio kibopa ila sijui hata nikuelezeeje
Umenielewa eeh? AhsanteI get you
Hahaaa...Umenielewa eeh? Ahsante
Hahaha umenifanya nirudie kusoma, kweli aisee ila maana yangu si inajulikanaHahaaa...
Ukibadilisha lugha na maana inaweza kubadilika kbsaa hasa kwa mtu atakayekuja kusoma hapa.
Yes, nilielewa.Hahaha umenifanya nirudie kusoma, kweli aisee ila maana yangu si inajulikana
sijui kwanini Ezekiel maige namuonaga kama mshamba vile,lakini vvitu anavyofanya sio vya kishambaMbunge na waziri mstaafu mmoja E.M majina yake,toka moja ya jimbo shinyanga.Nilikua na3 harusini alikua busy na Jf sana.
Kwanini ujichoshe kufake maisha huo pia ni uvulana,
Hakupaki gari nje ya mgahawa??
HahahahahJuzi wakati naenda Dodoma nilikaa siti moja na mzee ana kama miaka 50 or 60, aisee nilishangaa sana kuona yule mzee anatumia Jf.
Nilijaribu kumlia chabo nione Id yake ila alikuwa makini sana anapost huku anaficha simu na kuniangalia usoni...nadhani alikuwa Mshana Jr.
We unadhani Maxence yuko na moja...!!Hapa JF mtu aliye na jina sahihi nafikiri Maxence Melo tu na wenzake ila wengine wote ni fake tu. Makonda ni Bujibuji na Tundu Lissu ni Toto Gladly
We unadhani Maxence yuko na moja...!!