Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,958
- 55,054
Hahaha,wewe mwenyewe si unamuona kwenye ile avator yake
Mshana sio mzee bhana
Mshana sio mzee bhana
We ulitaka ukikutana nao uwa onaje? Wembamba,warefu,wafupi,mabonge,wenye pesa au masikiniSiku chache zilizopita
Nilitembelea maeneo flani hv katika Harakati zangu za kusaka tonge.
Kitu ambacho kilinifariji ni pale ambapo kwa Mara ya kwanza nilibahatika kumfahamu member mmoja Maarufu sana wa humu JF. Alikuwa akimuelekeza rafiki yake jinsi ya kutumia majukwaa tofauti na maudhui yake. Kwa kuwa ilikuwa ni maeneo ya kupata chakula (MGAHAWANI) Nami nilikuwa pembeni yake, niligundua pale alipotaja ID yake ambayo huwa anatumiaga... Nikajisemea moyoni DAAAH kumbe huyu ndiye yule jamaa?? (
Ila kiukweli
Muonekano wake ni tofauti sana na jinsi zilivyo post zake na huwezi kumdhania. Kwani ni mtu mstaarabu Sana katika maisha ya kawaida.
Jina sitolitaja kwasababu nahisi kama nitakuwa nimemkosea adabu... Ila HONGERA mkuu (Fulani) kwa nyuzi zako nzuri.
Nawasilisha
Hapana ni Asprin.Juzi wakati naenda Dodoma nilikaa siti moja na mzee ana kama miaka 50 or 60, aisee nilishangaa sana kuona yule mzee anatumia Jf.
Nilijaribu kumlia chabo nione Id yake ila alikuwa makini sana anapost huku anaficha simu na kuniangalia usoni...nadhani alikuwa Mshana Jr.
Hahaha... hawa wazee wajanjaa saana.Inawezekana aisee...yule mzee alikuwa machachali sana,tena alivyoona namimi nafungua JF akashtuka kabisa na simu akaitia kwenye begi akawa anasubiri namimi nianze ku reply ....
Sumbai siku nyingi sana sijamuona humu,sijui kafichwa wapiHahaha... hawa wazee wajanjaa saana.
Alijua utamharibia.
sumbai kaenda wapi! Simwoni kabisa.
Na wewe naona umeonaurudi kwenye uhalisia wako.
72. Acha kunipunguzia umri we dogo
Oouh...zimeongezeka kumbe.72. Acha kunipunguzia umri we dogo
Humu kuna kila design za walimwengu. Usiombe ukutane na wale mashemeji wanaoishi kwa waume wa dada zao wanalala sebuleni. Huwa wanakuwa na stress balaa. Akiangalia hana kazi na huku anasikia dada yake akigongwa chumbani.
Hao ndio wengi humu ndani, wenye hasira zaidi na wajuzi wa kila jambo maana hukesha wakiangalia marudio ya taarifa za habari usiku mzima huku wakisindikizwa na miguno ya dada akiukatikia.
Sikutaka ajue kama nachepuka na mke wakeOouh...zimeongezeka kumbe.
Sasa mbona unaficha simu kwenye sandarusi baada ya kuonekana na kijana!
Tehteh..haya umeshinda.Sikutaka ajue kama nachepuka na mke wake
Kumbe wewe kibopa da K hufananii na kutaja neno danga?Mimi kuna siku niliingia kwa jirani nikawakuta na majirani wengine wapo wanaangalia mchezo nikauliza huo mchezo unaitwaje? Mmoja akasema unaitwa nanga, mimi nikasikia kama amesema danga nikasema danga?? Wacha wavunjike mbavu eti da K na wewe unajua danga?? Nikasema hawa wakiona utumbo ninaokomentigi humu si watabisha hadi wapigane
Hahaha mkuu kama unaniona vile nipo hapa sebuleni kwa shem nimetoka kupakua msosi nawaona shem na sister wameingia zao room daahHumu kuna kila design za walimwengu. Usiombe ukutane na wale mashemeji wanaoishi kwa waume wa dada zao wanalala sebuleni. Huwa wanakuwa na stress balaa. Akiangalia hana kazi na huku anasikia dada yake akigongwa chumbani.
Hao ndio wengi humu ndani, wenye hasira zaidi na wajuzi wa kila jambo maana hukesha wakiangalia marudio ya taarifa za habari usiku mzima huku wakisindikizwa na miguno ya dada akiukatikia.
Sio kibopa ila sijui hata nikuelezeejeKumbe wewe kibopa da K hufananii na kutaja neno danga?
Haiwezekani kabisa mkuu,yaani huyo namjua ni Kipimbi flani kimezeekea utotoni km mwenzie SlowslowHuyo ni Magonjwa Mtambuka
Hahah...kama haujui unielezeje acha nimekusamehe.Sio kibopa ila sijui hata nikuelezeeje