Maisha baada ya kifo

Kwa iyo mkuu ni Mungu yupi atakaetoa hukumu
(A)Mungu anayeabudiwa na wakristo
(B)" " " " na waislam
(C)" " " " na ( wahindu, wachina n.k)

Yupi atakayetoa HUKUMU siku ya MWISHO???
Mungu ni mmoja tu,huyo Huyo ndio atawahukumu wote
 
Dah kwahiyo watakaochomwa moto ni wengi sana kuliko watakaoingia peponi? Wahindi, wachina, wajapani, burma, sri lanka, mongolia, thailand nao vp?
Kuni hizo mzee baba,hakuna namna mungu hawezi kua n'gombe sisi tunamla mpaka mchuzi
 
Aliyetunga hayo mambo aisee..( am kidding man)

Hivi ni kweli magape ya huku ndo magape baada ya this life...
!!!??

Hivi wenye hela na wenye nguvu huku ndo watatuzidi zaidi after this life.

Sasa najiuliza hivi hitler atatufanya nini kwenye huo ulimwengu parralel? (Maana nahisi ntapangwanae parallel universe moja maana na me nnaviknowledge na viudiktete vya hapa na pale)

Hivi papa doc, yule wa haiti, atakuaje huko atakapowekwa?

Hivi idd amin si atakua moto wakuotea mbali, (nahisi ataagiza aletewe supu ya uncle magu).

Hivi nyerere atamtazamaje Sokoine (alivyokua mkali mmasai yule) na Karume.

Kwa jinsi T.A.G ilivyo sasahivi, naamini mzee kulola hawezi tumia tena jina hilo kwenye kanisa atakalo anzisha huko.

Aisee Osama atamwagia Obama upupu wa hatarii....

Daahh... yani sijui itakuaje, namuwaza Kinjekitile ngwale, Benito musolin...

Nadhani John Kennedy atalipiza kisasi huko.
 
Hii nayo imani kama zile zengine..Je unaamini?
Sababu ya kuamini hivyo ndio tatizo mkuu,ndiyo maana mwanzo niliuliza chanzo cha hii elimu(imani) ni kipi?

Mfano labda wakristo au waislamu,chanzo na sababu za kuamini maisha baada ya kifo inajulikana.
 
Kw mjibu wa Bible soma 1peter 3:18-19 utapata Jibu LA swali LA kwanz
 
Jibu la pili Ni rahis sana sema tu hauna elim na mambo ya kiroho
 
Ukiondoa mungu maswali yote yanaganda hakuna hata Moja utakaloweza kujibu.
Kila kitu kifanyikacho god is constant.
 
Sababu ya kuamini hivyo ndio tatizo mkuu,ndiyo maana mwanzo niliuliza chanzo cha hii elimu(imani) ni kipi?

Mfano labda wakristo au waislamu,chanzo na sababu za kuamini maisha baada ya kifo inajulikana.
Chanzo cha hii Elimu ni taarifa zote_ pindi zinapowekwa kwenye mpangilio

Waisilamu na wakristo wao si tatizo katika hili

Ni kama watu wanaocheza karata nao wakapewa mgawo wao wa kuchezea mchezo

Kuna Elimu za falsafa za magharibi na mashariki zote zimejaribu kwa sehemu yake kuelezea haya

Na kilicho cha Ajabu zaidi usahihi wa taarifa anao mpokeaji wa taarifa_shida inaanza hapo
 

Hizi n Kamba
 
Ukiondoa mungu maswali yote yanaganda hakuna hata Moja utakaloweza kujibu.
Kila kitu kifanyikacho god is constant.

Akili yako ndio itakayoamua ukae katika level gani iwe level ya uungu au mtu ila kiuhalisia huyo mungu wako hayupo

Hayo maneno si rahisi kuyaelewa kwa mtu wa kawaida ila ukipita mind bridge ukafika kwenye level za juu kwenye light na sound ndio utajua hakuna mungu

Kazi ipo kuvuka kwenye mind bridge kwenda kwenye level za juu
 
Mkuu hizi taarifa za maisha baada ya kifo zinahitaji imani tu,maana hakuna aliye experience hiki kitu kisha akaja na taarifa. Sasa kwa vigezo gani mtu anaweza kuzikusanya tu hizi taarifa na kuzipangilia?
 
kuvuka mind bridge inamaana anafungua ubongo kusense uwepo wa vile zaidi ya 5 sense organ inavyo weza detect hivyo basi Watambuao uwepo wa mungu Ni wenyeakili kwa sababu wanasense (uwepo Na nguvu za mungu)zilizopo beyond their senses (ghaib)
 
Tatizo ni Moja tuu..watu wanaonekana primitive sana wakizungumzia kuhusu kuamini uwepo wa mungu..Na mambo yapo wazi.
Mtuu anaamini uwepo wa viumbe visivyoonekana (majini) lakini haamini uwepo wa mungu asieonekana ambae kaumba visivyoonekana
 
asante kwa kunirekebisha ila swali bado lipo pale pale MUNGU wetu anajua kuwa yupi ataenda motoni na yupi mbinguni??na kama anajua kwanini iwepo hukumu na kama hajui inamaana kuna vitu havijui
duhh!! that is a paradoxical premise!!
 
kuvuka mind bridge inamaana anafungua ubongo kusense uwepo wa vile zaidi ya 5 sense organ inavyo weza detect hivyo basi Watambuao uwepo wa mungu Ni wenyeakili kwa sababu wanasense (uwepo Na nguvu za mungu)zilizopo beyond their senses (ghaib)

Wanatambua hilo lakini unadhani kwanini hufundishwi madrasa au kanisani?

Hawakufundishi ili wapate kukutawala vzr maana ukija kujua hutakuwa unapeleka tena sadaka ili mchungaji au sheikh akuombee
 
Sasa utaabudu vipi masanamu.wakati hayana pepo wala moto?
Wakutoa hukumu ni mmoja tu nae ni mungu mwenyewe.
Mungu amesema ametuunba ili tuje tumuabudu.
Sio kuabudu masanamu
Sijakaa ila namaanisha kwanini nao wasipelekewe mjumbe kutoka kwa Mungu wa kweli ili waepukane na adhabu hio badala ya kuwaacha halafu waje kuchomwa?
 
Mmmmmh bado nipo njia panda japo nafahamu mtu akifa kinachokufa ni mwili si roho, roho bado inaendelea kuishi katika ulimwengu wa roho na baadaye kuhukumiwa kwa matendo yake
 
Kwan mkuu we c umesema Mungu wetu ni mmoja??
Kwan kuna ubaya gn hp
Mungu ni mmoja ila hawezi kuleta dini tofauti ili atuvuruge, dini ya ukweli ni.moja tu zingine ni uzushi wa wanadamu na mashetani wao. Ukiangalia manabii wote walielekezwa wamuabudu mungu mmoja na watende mema hapa duniani, so kagua dini inayofuata misingi hiyo. Kumbuka kumuabudu mungu hakuna wakala katikakati mfano kuamini mtu fulani anaweza samehe dhambi zako ukiungama kwake kwa niaba ya mungu akisema umesamehewa na ikawa hivyo hio si kweli, Mungu anaabudiwa direct na kuombwa msamaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…