Maisha baada ya kifo

Kwa iyo mkuu ni Mungu yupi atakaetoa hukumu
(A)Mungu anayeabudiwa na wakristo
(B)" " " " na waislam
(C)" " " " na ( wahindu, wachina n.k)

Yupi atakayetoa HUKUMU siku ya MWISHO???
Mungu ni mmoja.
Sisi binadamu ndo tunamtofausha kutokana na mapokeo tunayotapata kutoka kwa jamii zetu.
Mfano Mimi ni muislam.
Mungu tunamuita Allah.
Wakristo wanamuita yehova n.k
Lakini ndo huyo huyo.
Achana na Yale masanamu ya kihindi.
 
mungu umjua MTU wa motoni na peponi kwa matendo yake.
kila umma utahukumiwa kutokana na ujumbe walioletewa na manabii na mitume.
Kama hawakufikiwa na ujumbe.uenda wakasamehewa.
Mungu anajua zaidi
kwaio kabla haujatenda ,hajui lolote kuwa wewe utelekea wapi??
 
kwaio kabla haujatenda ,hajui lolote kuwa wewe utelekea wapi??
umepewa kuchagua.kutenda wema au mabaya.unaishi kutokana na matakwa yako.siwezi kusema hajui.ila binadamu amepewa utashi wa akili.wa kuchagua.afanye nini..
 
umepewa kuchagua.kutenda wema au mabaya.unaishi kutokana na matakwa yako.siwezi kusema hajui.ila binadamu amepewa utashi wa akili.wa kuchagua.afanye nini..
kitu unachonieleza ni sawa na nakijua tangu utoto wangu ila swali bado lipo palepale anajua au hajui??
 
Mungu ni mmoja.
Sisi binadamu ndo tunamtofausha kutokana na mapokeo tunayotapata kutoka kwa jamii zetu.
Mfano Mimi ni muislam.
Mungu tunamuita Allah.
Wakristo wanamuita yehova n.k
Lakini ndo huyo huyo.
Achana na Yale masanamu ya kihindi.

Sasa mkuu kama Mungu ni mmoja kwa waislam wanatofautiana kwny kufanya ibada/kuabudu?
Alaf kingine ni hv unajua kwamba kitu wanachoamini waislam kwa wakristo hawakiamini?
Inakuaje Mungu awe ni mmoja alaf hajulikani yupi ni wa kweli!
 
Sasa mkuu kama Mungu ni mmoja kwa waislam wanatofautiana kwny kufanya ibada/kuabudu?
Alaf kingine ni hv unajua kwamba kitu wanachoamini waislam kwa wakristo hawakiamini?
Inakuaje Mungu awe ni mmoja alaf hajulikani yupi ni wa kweli!
Huyo huyo mmoja.ndo wa kweli.tatizo binadamu wamechafua maandiko kwa kujifanya wanajua.
kila MTU anapita njia yake kumfikia mungu kwa maombi.lakini ndo huyo huyo mmoja.
 
Thread tata sana, hasa ukisoma wanapodai kila nyota ina sayari kama Dunia yetu, je huko nako wanaamini nini, wakifa wanaenda wapi, wana Dini tofauti kama sisi?! Maswali lukuki, cha kufanya ni kuishi kwa kufuata sheria bila shuruti, kufanya mema, ku enjoy kuwa hai, mengine utakutana nayo huko huko...
 
Ukiondoa neno mungu utaona maswali mengi unayajibu bila tatizo

Maswali kama kuna thawabu na dhambi au moto na mbingu yote yatakuwa yamepotea kichwani kwako kiuhaliisia hakuna mungu

Kama ukijiamini katika kichwa chako utafanya mambo makubwa na utakayoyataka akili yako ndio inayoamua uwe katika level ya uungu au mtu ila hakuna mungu
 
Sasa mkuu kama Mungu ni mmoja kwa waislam wanatofautiana kwny kufanya ibada/kuabudu?
Alaf kingine ni hv unajua kwamba kitu wanachoamini waislam kwa wakristo hawakiamini?
Inakuaje Mungu awe ni mmoja alaf hajulikani yupi ni wa kweli!
Ila ni vizuri kabla ya kutaka kujua ni yupi Mungu wa kweli,kwanza ungejiuliza kwanini uhitaji kutaka kumjua Mungu?
 
Ukiondoa neno mungu utaona maswali mengi unayajibu bila tatizo

Maswali kama kuna thawabu na dhambi au moto na mbingu yote yatakuwa yamepotea kichwani kwako kiuhaliisia hakuna mungu

Kama ukijiamini katika kichwa chako utafanya mambo makubwa na utakayoyataka akili yako ndio inayoamua uwe katika level ya uungu au mtu ila hakuna mungu

Sasa nani kakwambia msimamo wa kusema hakuna Mungu ndio hauna maswali? maswali yapo pale pale tu na ndio maana kuna maswali tukiwauliza mnasema wazi kuwa hamjui kwa maana hamna elimu nayo,basi hata tunaoamini Mungu nasi pia kuna mambo hatuna elimu nayo na hivyo si ajabu kutokuyajua yale,tuyaelezayo ni yale tuliyo na elimu nayo.

Hivyo kusema hakuna Mungu sio jibu la maswali na wala hakumuepushi binaadamu na maswali.
 
Mungu ni mmoja.
Sisi binadamu ndo tunamtofausha kutokana na mapokeo tunayotapata kutoka kwa jamii zetu.
Mfano Mimi ni muislam.
Mungu tunamuita Allah.
Wakristo wanamuita yehova n.k
Lakini ndo huyo huyo.
Achana na Yale masanamu ya kihindi.
Dah kwahiyo watakaochomwa moto ni wengi sana kuliko watakaoingia peponi? Wahindi, wachina, wajapani, burma, sri lanka, mongolia, thailand nao vp?
 
Dah kwahiyo watakaochomwa moto ni wengi sana kuliko watakaoingia peponi? Wahindi, wachina, wajapani, burma, sri lanka, mongolia, thailand nao vp?
Sasa utaabudu vipi masanamu.wakati hayana pepo wala moto?
Wakutoa hukumu ni mmoja tu nae ni mungu mwenyewe.
Mungu amesema ametuunba ili tuje tumuabudu.
Sio kuabudu masanamu
 
Huyo huyo mmoja.ndo wa kweli.tatizo binadamu wamechafua maandiko kwa kujifanya wanajua.
kila MTU anapita njia yake kumfikia mungu kwa maombi.lakini ndo huyo huyo mmoja.

Kwa iyo km Mimi ni muislam nikibadilisha dini na kua mkristo ni sawa??
Na je vipi kuhusu Jewish ?
 
1.Mungu ameziweka sheria zake mioyoni mwa watu na ndo maana watu wanaweza kuhukumu.kwa hivyo hata hai mababu wa zamani sio kwamba hawakujua lengo la MUNGU katika maisha.walijua Sana wameletwa hapa Ili kujaribiwa katika shida na raha.God is wise and knowing.he Will inform disbelieve what they used to corrupt.na hio siku haiko mbali.ni siku yako ya kufa.utaletwa Moto kupima matendo yako.
Swali la pili jibu Ni kwamba Mungu amempa mwanadamu Uhuru kamili wa kuamua katika njia mbili na mbaya.ni Kama tuseme Mungu ameingia mkataba na uzao wa watu kwamba atakuacha kwa muda uamue wewe unataka uwe kundi gani.ila kwake yeye lazima turejee wote.
Jibu lako la pili nimekuelewa na liko timam kwa upande wangu
 
Back
Top Bottom