JFs Members uzima upo?
Nisiwachoshe niende Moja kwa Moja kwenye hoja.
Safari ya chuo kuelekea mtaani inaanza tu pale graduation inapoisha
Hii naongelea experience yangu
Nilipongenzwa kwa bashasha kede kede kwenye graduation yangu na kupewa moyo nishatoboa kazi zipo tu
Sasa baada ya miezi kupita mianya yote inakata ya kupata pesa, walewaliokuwa wanakupush mara moja ukiwa chuo hawajibu jumbe wala kupokea simu zako baada ya kujua we ni jobless
Boom halipo tena, una apply kazi majibu negative, unashinda ndani siku mzima huna kazi inayokuhitaji ukafanye nje
Unaishi kwa matumaini ipo siku nami nitatoboa tu,
Ila hali inatisha jamani mtaani
Unaishi kwa kupiga long dash, nimekondeana kwa mawazo sijui nakula nini kesho, unaangalia dari tu.
Wakuu ukipata nafasi ya kumsaidia mtu hasa kijana ambae Hana msaada yupo mtaani we msaidie tu. Waliopitia hii hali wanaelewa.
Hapa mfukoni ipo buku jero, kodi imeisha unampiga chenga faza wa nyumba huku ukisubiri mishe zitiki lakini wapi. Unaweza hata kukufuru kwa Mungu kwanini alikuumba uteseke hivi huku wenzio wanamaisha safi huko nje.
Members JF naomba msaada wenu nipate ya kula huku napambana nipate mishe halali ya kufanya , naomba mnishike mkono hali yangu inatisha kwa sasa.
nitawambea kwa Mola.
Ahsante wakuu 🙏
Nisiwachoshe niende Moja kwa Moja kwenye hoja.
Safari ya chuo kuelekea mtaani inaanza tu pale graduation inapoisha
Hii naongelea experience yangu
Nilipongenzwa kwa bashasha kede kede kwenye graduation yangu na kupewa moyo nishatoboa kazi zipo tu
Sasa baada ya miezi kupita mianya yote inakata ya kupata pesa, walewaliokuwa wanakupush mara moja ukiwa chuo hawajibu jumbe wala kupokea simu zako baada ya kujua we ni jobless
Boom halipo tena, una apply kazi majibu negative, unashinda ndani siku mzima huna kazi inayokuhitaji ukafanye nje
Unaishi kwa matumaini ipo siku nami nitatoboa tu,
Ila hali inatisha jamani mtaani
Unaishi kwa kupiga long dash, nimekondeana kwa mawazo sijui nakula nini kesho, unaangalia dari tu.
Wakuu ukipata nafasi ya kumsaidia mtu hasa kijana ambae Hana msaada yupo mtaani we msaidie tu. Waliopitia hii hali wanaelewa.
Hapa mfukoni ipo buku jero, kodi imeisha unampiga chenga faza wa nyumba huku ukisubiri mishe zitiki lakini wapi. Unaweza hata kukufuru kwa Mungu kwanini alikuumba uteseke hivi huku wenzio wanamaisha safi huko nje.
Members JF naomba msaada wenu nipate ya kula huku napambana nipate mishe halali ya kufanya , naomba mnishike mkono hali yangu inatisha kwa sasa.
nitawambea kwa Mola.
Ahsante wakuu 🙏