Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

Complex Minder

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
534
Reaction score
160
Habari zenu wakuu,

Huko Instagram kumenuka baada ya Maimatha kushushiwa shombo za samaki na kujikuta yuko feli akivua samaki kutokana na matusi yaliyompelekea kufuta kila post iliyokua ikiashiria kumponda Wema.


attachment.php
 
Hao mashabiki wa Wema wote akili zao zinafanana!yaani utadhani ni kundi fulani la machangudoa hivi walokosa stara na haya!?yaani kila mtu wanataka akubaliane na huyo Wema jamani?!ukimpinga tu basi unaonekana una chuki kweli??!
 
Hao mashabiki wa Wema wote akili zao zinafanana!yaani utadhani ni kundi fulani la machangudoa hivi walokosa stara na haya!?yaani kila mtu wanataka akubaliane na huyo Wema jamani?!ukimpinga tu basi unaonekana una chuki kweli??!

Utadhani wanalipwa yaani ni ujinga wa hali ya juu
 
Ngoja awachalukie huyo Mai alimsuta mwanaume na keki ju anawavutia pumzi hao timu fudenge
 
Mashabiki wa Wema wanafanana kila kitu na mashabiki wa msanii fulani aliewahi kudate na huyo Wema.
Ni wa kupuuzwa.
 
Nilichek ile pichaaa jamni ya mai,,mmeona huda kaiba picha ya watu
 
attachment.php
 

Attachments

  • maimatha.JPG
    maimatha.JPG
    31.8 KB · Views: 5,598
Huyu Mai naye kumbe ni mbulula tu sasa kwanini na yeye alitukana hayo matusi. Na yeye hana tofauti nao.
 
Nakumbuka wakati nakua nikisikia neno MKE WA MTU auto akili yangu inaleta picha ya mwanamke mmoja anaejiheshimu, na ndo kweli ilikua hivi ila siku hizi sasa hao wake za watu(sio wote thou wengi) hawana tofauti sana na machangu au wale wanawake waliozibuka,,, hivi mtu mzima ulioelewa UNAANZAJE KUCHAMBANA NA MA FAKE ID ya huko IG? Maana hizo team zote zinaongozwa na watoto wa sekondari sijui, maana mtu unapata wapi muda wa kua online 24/7.. mke wa mtu maana yake umebeba famila tatj yaan reputation yako inakua ya wazazi wako,wazazi wa mume wako na familia yako.. MAIMATHA U ARE VEERRY POOR EXCUZ OF A WOMAN
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom