Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .
Sent using Jamii Forums mobile app
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .
Sent using Jamii Forums mobile app