Jamani muacheni atoe la moyoni, atakuja kusema tu kwamba hata yeye pale wizarani waliomponza ni akina fulani ambao walikuwa na wakubwa huko mbele, lakini ukweli ni kwamba hakufanya mazuri sana hususan ikizingatiwa na kiwango cha dolla kilichojenga nyumba yake mbezi beach.
Maige ni bora uendelee kunukuu vifungu vya bible ili kujionesha kuwa ukikosa ubunge utafungua kanisa lako na kuingiza fedha za sadaka.mu
ngu ibariki tanzania.