Arudishe twiga kwanza. .
Kwa mujibu wa taratibu zetu yeye sio fisadi tena kwani alishatoka kwenye uwaziri.na amesamehewa kama el,chenge na wengine
Maige huna aibu, na wewe unakemea wala rushwa. Mpaka leo hujawaeleza watanzania dola 700,000 US$ za kujenga hekalu Mbezi beach ulizipata wapi!!! Twiga wetu walipita KIA. UMEPATA WAPI MORAL AUTHORITY ! SHAME UPON YOU!!!