Mahusiano yanataka kuniumiza akili

Aiseee haya mapenzi mimi mbona sina? Yaani amekugeuza chuma ulete wewe ndo mtoa pesa? Uko nae miaka 9? Wewe umerogwa sio bure, mpuuzi anaishi kwao miaka hiyo yote?

Kweli kuna wanawake mnapenda kiboya sana.mimi mwanaume ambae hatowi chochote kwangu siwezi mvumilia zaidi ya miezi 3.
Luckyline,taratibu mamaangu. Miaka 9 aliyoishi na huyo kijana ni mingi sana,kumfuta kimahusiano ni ngumu sana.
Tutarajie mrejesho "ahsante wanajukwa kwa ushauri mlionipa,baby boy amebadilika maisha yetu ni pambeee"
 
Habari humu ndani?

Kwa kweli ashukuriwe sana alieanzisha JF

Maana kuna muda unatamani kuongea you dont know mtu wa kukusikiliza. Ila JF inasaidia sana kufanya wengine tutoe yanayotuumiza mioyoni
Pole sana, yaani ulivyosema tu anaishi kwao nikajua aina ya akili aliyonayo huyo jamaa. Kiufupi ulibahatika kuwa na mwanaume mpumbav
 
1. Mmekaa mkaongea kama wapenzi/wachumba?
2. Ulimshauri atoke hapo nyumbani kwao akajitegemee? Majibu yake yalikuwaje?
3. Swala la future yenu(hamjaoana) mmelizungumziaje?
4. Kipato chake(umesema anafanya kazi) anakitumia wapi?

Maswali ni mengi...
Tumeongea sana na kujadiliana hata siku ya kutambulishana rasmi. Kila ninapomshauri juu ya kutoka kwao anasingizia hajamaliza maandalizi ya kuhamia kwake. Hii story ya maandalizi ya kuhamia inaenda mwaka sasa. Kila siku hana pesa kwamba anaandaa mazingira.

Kipato anachokipata yeye ni pombe ingawa anadai ni maandalizi ya ujenzi. Ana mtoto lakini hajishughulishi chochote na mwanae.
Mi nafikiri kuna maandalizi ambayo yaliipaswa kufanyika kabla ya kutambulishana. Kila mara ugomvi ni huo na akiitaka kuondoa ugomvi mara nyingi anatoa hizo story za kutambulishana ambazo hadi leo hazijatimia.

Ni mtu ambaye mnaweza kusema leo mtafanya hivi, akarudi jioni akasema ameghairi. Ni mtu ambaye mnaweza kugombana ugomvi mkubwa, usiku akarudi kama vile hakuna kilichotokea.

But l need someone ambaye akiongea kitu tusimamie hapo. Mtu ambaye anaweza kusimama aseme hiki hapana kile ni sawa. Sio mtu ambaye chochpte kwake ni sawa. Mfano nikitaka kurudi kwake hapa ni kumpigia simu na kuomba msamaha mnaanza mlipoishia. But l need a person ambaye akisema tumeachana anaelewa kichwani mwake kwamba hapa sipo tena na wala sitakiwi kuwepo tena. Sijui unanielewa point yangu?
 
Nadhani umefanya maamuzi sahihi. 30+ ni umri wa mtu kujielewa na kujiwekea dira thabiti ya maisha.

Kwa tabia ulizotaja hapo, sidhani kama huyo mwanaume anastahili kuwa mume. Wengine wanabahati kuwapata wanawake wachakarikaji na wanyenyekevu ila bado hawaoni umuhimu wa kujenga ushirikiano wa kuwakwamua kwenye umasikini.

Kwako mimi sioni kama unateseka, naona unajitambua na kikubwa umeshajua tabia ya M wenzako mapema. Ni suala la kusimama na maamuzi yako tu.
Mwanamke siku zote huwa anataka mwanaume anayemzidi kipato, Hivyo ikitokea mwanamke akakuzidi kipato hilo tu huwa ni sababu tosha ya kuanzisha mtiti!

Atakutafutia sababu au zengwe lolote mpaka atakumwaga!
 
Tumeongea sana na kujadiliana hata siku ya kutambulishana rasmi.
Kila ninapomshauri juu ya kutoka kwao anasingizia hajamaliza maandalizi ya kuhamia kwake. Hii story ya maandalizi ya kuhamia inaenda mwaka sasa. Kila siku hana pesa kwamba anaandaa mazingira.
Kipato anachokipata yeye ni pombe ingawa anadai ni maandalizi ya ujenzi. Ana mtoto lakini hajishughulishi chochote na mwanae.
Mi nafikiri kuna maandalizi ambayo yaliipaswa kufanyika kabla ya kutambulishana. Kila mara ugomvi ni huo na akiitaka kuondoa ugomvi mara nyingi anatoa hizo story za kutambulishana ambazo hadi leo hazijatimia.
Ni mtu ambaye mnaweza kusema leo mtafanya hivi, akarudi jioni akasema ameghairi.
Ni mtu ambaye mnaweza kugombana ugomvi mkubwa, usiku akarudi kama vile hakuna kilichotokea.
But l need someone ambaye akiongea kitu tusimamie hapo. Mtu ambaye anaweza kusimama aseme hiki hapana kile ni sawa. Sio mtu ambaye chochpte kwake ni sawa. Mfano nikitaka kurudi kwake hapa ni kumpigia simu na kuomba msamaha mnaanza mlipoishia. But l need a person ambaye akisema tumeachana anaelewa kichwani mwake kwamba hapa sipo tena na wala sitakiwi kuwepo tena. Sijui unanielewa point yangu?
He hayo maandalizi isije kuwa anatayarisha mambo halafu siku ya siku unaletewa invitation card ya harusi yake na ex!

Baadaye anakuja kuomba msamaha munaendelea wewe kama ex sasa na yeye na mke wake.
 
Tumeongea sana na kujadiliana hata siku ya kutambulishana rasmi.
Kila ninapomshauri juu ya kutoka kwao anasingizia hajamaliza maandalizi ya kuhamia kwake. Hii story ya maandalizi ya kuhamia inaenda mwaka sasa. Kila siku hana pesa kwamba anaandaa mazingira.
Kipato anachokipata yeye ni pombe ingawa anadai ni maandalizi ya ujenzi. Ana mtoto lakini hajishughulishi chochote na mwanae.
Mi nafikiri kuna maandalizi ambayo yaliipaswa kufanyika kabla ya kutambulishana. Kila mara ugomvi ni huo na akiitaka kuondoa ugomvi mara nyingi anatoa hizo story za kutambulishana ambazo hadi leo hazijatimia.
Ni mtu ambaye mnaweza kusema leo mtafanya hivi, akarudi jioni akasema ameghairi.
Ni mtu ambaye mnaweza kugombana ugomvi mkubwa, usiku akarudi kama vile hakuna kilichotokea.
But l need someone ambaye akiongea kitu tusimamie hapo. Mtu ambaye anaweza kusimama aseme hiki hapana kile ni sawa. Sio mtu ambaye chochpte kwake ni sawa. Mfano nikitaka kurudi kwake hapa ni kumpigia simu na kuomba msamaha mnaanza mlipoishia. But l need a person ambaye akisema tumeachana anaelewa kichwani mwake kwamba hapa sipo tena na wala sitakiwi kuwepo tena. Sijui unanielewa point yangu?
Akisema anafanya maandalizi ya kuhamia kwake anamaanisha anajenga ili aingie nyumbani kwake kutokea kwao au anahamia ghetto la kupanga? Maana huenda hapo alipo anajenga na hujui!

Ana mtoto, je huyo mtoto mlizaa wote au ni wake? Na kama sio wako, alimpata mkiwa mpo kwenye mapenzi, meaning he cheated wakati mpo pamoja.

Kama jibu la hapo juu ni hapana, kwa nini mmechukua mda mrefu hivyo, uchumba/urafiki gani huo wa miaka tisa bila ndoa au muelekeo?

Kwa nini ulichukua miaka mingi hivyo kuamua ulivyoamua leo, ulikuwa unasubiri nini? Mwanamke na miaka 30+, early..mid..or late huoni it's getting late kwako?

Mbona naona tatizo lipo kwa wote, wewe na yeye! Ulivumilia vipi kukaa na mtu miaka tisa bila direction yoyote?
 
Wee mwanamke ni mbinafsi tu kwa kuwa jamaa umemzidi kipato leo hii unamwona ana tabia za ajabu mbona wakati mko chuo mmepigika hukuona tabia zake za ajabu,leo umepata kazi yenye mshahara mkubwa kuliko mwenzako unajifanya eti jamaa hana future ,wanawake mkishakua na viajira vyenu na vimishahara mnataka kuvimba na kuwaona wanaume mliotoka mbali hawafai tena. Amerudi kwa Ex wake kwa kuwa ameshakuona una gubu na unataka umtawale kwa hivyo visenti vyako vya dagaa.
Dada yupo sahihi ila tumesikia upande wake tu.. kukaa na mtu miaka 9 lazma kuna kitu dada alikua anapata ndio mana akamkubali mwamba...

Nahisi asingerud kwa ex wake huu uzi usingekuwepo
 
luckyline,taratibu mamaangu. Miaka 9 aliyoishi na huyo kijana ni mingi sana,kumfuta kimahusiano ni ngumu sana.
Tutarajie mrejesho "ahsante wanajukwa kwa ushauri mlionipa,baby boy amebadilika maisha yetu ni pambeee"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Lowd!!

Nimesoma nikapata mixed feelings! Hivi haya mapenzi ya namna hii yanasababishwaga na nini hasa! Huyu mrembo anajua kupenda hasa mbinguni atakuwa na special sit.
Kwanza chige mimi hayo mapenzi ya Tanga ndo siyataki kabisa!!! Sie wengine tulivyoumbwa tunajijuaga wenyewe tu kwa kweli! Halafu hilo la reasoning hilo.... dah!! Umenikumbusha mbali kweli yaani! Mungu anisamehe kwa kweli!!
 
Kweli wewe mapenzi kwako basi tena, tone yako inaonyesha hivyo, pesa..pesa..maisha mazuri...n' the like. The good thing is, kila mtu anapata anachostahili.

Kuna umri/stage ya maisha mtu akifika anasema "to hell", vyovyote inavyokuwa iwe tu.
Tushaumizwa zaidi sasa hivi hatuogopi kitu.nilikuwa dada mwenye upendo sana siombi hata mia nasubiri nipewe sipewi kumbe wengine wanapewa nilivyotendwa nikaamka usingizini.

Sasa hivi ni mwendo wa usipotoa endelea na maisha yako. Nimenene, nimenawili sina stres mungu anipe nini?
Mapenzi ni utumwa sometimes.

Nb sitaji kuwa nataka hela, nakujengea mazingira unaitoa kwa kujiongeza usipojiongeza mimi nakaa kimya mpaka utakapojiongeza.
 
Aiseee haya mapenzi mimi mbona sina? Yaani amekugeuza chuma ulete wewe ndo mtoa pesa? Uko nae miaka 9? Wewe umerogwa sio bure, mpuuzi anaishi kwao miaka hiyo yote?

Kweli kuna wanawake mnapenda kiboya sana.mimi mwanaume ambae hatowi chochote kwangu siwezi mvumilia zaidi ya miezi 3.
Dah! Ushanikatisha tamaa kwa kweli wakati ndo kwanza nilikuwa nakulia timing uingie kwenye 18 zangu nikupe sound. Kwahiyo ina maana hata kunibeba mgongoni kunipeleka bafuni kuoga utakuwa hunibebi?!
 
Tushaumizwa zaidi sasa hivi hatuogopi kitu.nilikuwa dada mwenye upendo sana siombi hata mia nasubiri nipewe sipewi kumbe wengine wanapewa nilivyotendwa nikaamka usingizini.

Sasa hivi ni mwendo wa usipotoa endelea na maisha yako. Nimenene, nimenawili sina stres mungu anipe nini?
Mapenzi ni utumwa sometimes.

Nb sitaji kuwa nataka hela, nakujengea mazingira unaitoa kwa kujiongeza usipojiongeza mimi nakaa kimya mpaka utakapojiongeza.
Sasa tusio na hela tumtongoze nani jamani, msiwe hivyo dada zetu!

Naamini atakuja mmoja utampenda tu the way alivyo, atakuhudumia kadri ya uwezo wake mdogo na utaridhika, usipopanda ndege kumfata utaona sawa tu coz utampenda. Huyu wa sasa ni vile hajatangaza nia, akitangaza mbona utajiachia.
 
Dah! Ushanikatisha tamaa kwa kweli wakati ndo kwanza nilikuwa nakulia timing uingie kwenye 18 zangu nikupe sound. Kwahiyo ina maana hata kunibeba mgongoni kunipeleka bafuni kuoga utakuwa hunibebi?!
Labda nikupeleke chekechea kwanza ukasome
 
Mwanamke akikuzidi kipato na elimu hakuna ndoa hapo,ona sasa una 30+ hujaolewa ,huna mtoto,hela zako ni bure,jua limezama ila pole sana mama
 
Tumeongea sana na kujadiliana hata siku ya kutambulishana rasmi.
Kila ninapomshauri juu ya kutoka kwao anasingizia hajamaliza maandalizi ya kuhamia kwake. Hii story ya maandalizi ya kuhamia inaenda mwaka sasa. Kila
Hiyo Takataka tupilia mbali huyo bure ghali tafuta mwanamme wa shoka anaejua maisha hata kama hakusoma lkn maisha anayajua hutojuta lkn muoane sio unamjaribu kwanza nimeleleza sana ndoa za boy friend na girl friend hazidumu sana na mukiasha anza kuzini mwanzo tayari ndoa yenu inakuwa na walakin.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom