Mahusiano yanataka kuniumiza akili

Mahusiano yanataka kuniumiza akili

Mkuu hilo suala la kurudiana na ex najua sababu nimepunguza mapenzi. Upendo wangu kwake umeshuka sana. Ni mtu ambaye nikijisikia kurudiana naye its just after masaa matatu naweza kudate naye. So hiko sio kitu kinachoniumiza. Najua anafanya hivyo sababu l told him tuachane. So lazima atafute mtu wa kumkeep busy. Ishu ni kwamba sioni muelekeo yeye akiwa kama kiongozi wa familia tunayotaka kuanzisha
eti kiongozi wa familia, yaani hadi sasa unamhesabia? najua unampenda sana ila move on mkuu

utakuja kunishukuru nakwambia,,,huyu ni mvulana na sio mwanaume

ila kama unataka ku enjoy nae tu kwa mapenzi yako bila wazo la kuanzisha familia,,well and good
 
Itakuwa jamaa alikuwa anajua kumgegeda vizuri ndio maana kavumilia miaka tisa
Ushamba tu, akionja vizuri atajua kuwa hajui, hakuna Kijana wa kiume anayeishi kwao anayejua hizi mambo,si Hana uchungu? Yaani unatoka kutafuta, umekosa, umeibiwa, umedhulimiwa hapo sasa ukipata mchumba. Hasira zako zote unamalizia pale Eden, lakini unaishi kwenu? Aagh wapi utawaona wanawake kama dada zako, ndio maana anawaomba pesa, si Dada zake?
 
Hii ishu ya kuchanganya Kiswahili na Kiingereza inakera sana yaani
Mimi sipendi unafiki... SIKUHURUMII, narudia... SIKUHURUMII...

You're 30+ halafu bado unaleta mapenzi ya Form II?! Look at you... unaweza kukuta "boy" wako keshagonga 35 halafu bado LINAKAA kwao! Ina maana hadi upelekwe kwa psychologist ndipo uambie na miaka 30+ yako una-date kivulana kilicho in his early 20's?

Being 30, 35, 45, is just a number... umri halisi wa mtu upo kichwani mwake na sio miaka aliyoishi duniani!! Utalea watoto wenye umri mkubwa hadi lini dadangu? Umri ndo huo unaenda, and it's matter of time kabla watu wa size yako kuwa akina chige tulio in our 40's!!

REMEMBER... I may be 10+ years older than you, lakini ni wewe ndie utakuwa unakimbilia kwenye expiration date badala ya mimi!! Tumia akili kuchagua mtu sahihi kwako badala ya kutumia moyo or emotion!

Moyo always mislead and make people behave and look stupid!

Eti rafiki yangu Prishaz, unaonaje nikijiweka hapa?! Manake kwa staili za u-snitch wa mtaa, huwa tunaanza kusaga sumu kwanza 😀!
 
Duh!
Aiseee haya mapenzi mimi mbona sina? Yaani amekugeuza chuma ulete wewe ndo mtoa pesa? Uko nae miaka 9? Wewe umerogwa sio bure, mpuuzi anaishi kwao miaka hiyo yote?

Kweli kuna wanawake mnapenda kiboya sana.mimi mwanaume ambae hatowi chochote kwangu siwezi mvumilia zaidi ya miezi 3.

Amka usingizini, huyo fala anakuona wewe ndo una shida sana wewe ndo unamuhitaji kuliko yeye snavyokuhitaji.

Manina zake nyau huyo.mpigie simu mwambie aje muongee, akifika uwe umeshaandaa nguo zake mkabidhi funga mlango.

Au muulize alipo akisema yupo nyumbani mwambie unakuja kumuona, nenda na mizigo yake yote.
Ikiwezekana hama huo mtaa, mwambie vitu vyake umeviacha ndani akavifate, kha yaani nimesikia hasira sana huu upuuzi siwezi ufanya.

Mpuuzi huyo ana nini cha maana kinachokufanya uendelee kuwa mtumishi wake?

Mwanaume wa hivyo awe wa mwisho kwako, umepoteza muda mwingi sana.sasa amka usingizini.

Ukipata mwingine, hakikisha usimfiche ualisia wako muoneshe mwanzoni kuwa anatakiwa kuwajibika kwako kama mwanaume.lazima atowe pesa kwa ajili yako.

Tangu niwajuwe wanaume walivyo wapuuzi siteswi na mapenzi, zamani nilikuwa nawaza atanionaje nikimwambia mambo ya pesa?niliteseka sana

Nikawaza hawa ni wa kuwambia indirectly.

Kuna mmoja huyoanataka kunipandisha nyeunge niende kwake ahaaaaa nimenyoosha maelezo, nikamwambia mimi sipandi basi masaa 13 nimekalisha tako kwenye basi kukufata, nikamwambia nasubiri tiketi ya ndege asipotuma kwangu nakula nakusaza. Na ataituma asipotuma sina cha kupoteza kwake.

Inabidi nimzoeshe hivyo asije niona mimi ni wa kusafiri na nyeunge kha. Mtu uwezo anao afu nijitese? Nyooolooo zake

Dada leo hii hakikisha huyo tegemezi anaondoka kwako mwambie umepata mwanaume mwingine. Ishiiiiiy
 
Aiseee haya mapenzi mimi mbona sina? Yaani amekugeuza chuma ulete wewe ndo mtoa pesa? Uko nae miaka 9? Wewe umerogwa sio bure, mpuuzi anaishi kwao miaka hiyo yote?

Kweli kuna wanawake mnapenda kiboya sana.mimi mwanaume ambae hatowi chochote kwangu siwezi mvumilia zaidi ya miezi 3.

Amka usingizini, huyo fala anakuona wewe ndo una shida sana wewe ndo unamuhitaji kuliko yeye snavyokuhitaji.

Manina zake nyau huyo.mpigie simu mwambie aje muongee, akifika uwe umeshaandaa nguo zake mkabidhi funga mlango.

Au muulize alipo akisema yupo nyumbani mwambie unakuja kumuona, nenda na mizigo yake yote.
Ikiwezekana hama huo mtaa, mwambie vitu vyake umeviacha ndani akavifate, kha yaani nimesikia hasira sana huu upuuzi siwezi ufanya.

Mpuuzi huyo ana nini cha maana kinachokufanya uendelee kuwa mtumishi wake?

Mwanaume wa hivyo awe wa mwisho kwako, umepoteza muda mwingi sana.sasa amka usingizini.

Ukipata mwingine, hakikisha usimfiche ualisia wako muoneshe mwanzoni kuwa anatakiwa kuwajibika kwako kama mwanaume.lazima atowe pesa kwa ajili yako.

Tangu niwajuwe wanaume walivyo wapuuzi siteswi na mapenzi, zamani nilikuwa nawaza atanionaje nikimwambia mambo ya pesa?niliteseka sana

Nikawaza hawa ni wa kuwambia indirectly.

Kuna mmoja huyoanataka kunipandisha nyeunge niende kwake ahaaaaa nimenyoosha maelezo, nikamwambia mimi sipandi basi masaa 13 nimekalisha tako kwenye basi kukufata, nikamwambia nasubiri tiketi ya ndege asipotuma kwangu nakula nakusaza. Na ataituma asipotuma sina cha kupoteza kwake.

Inabidi nimzoeshe hivyo asije niona mimi ni wa kusafiri na nyeunge kha. Mtu uwezo anao afu nijitese? Nyooolooo zake

Dada leo hii hakikisha huyo tegemezi anaondoka kwako mwambie umepata mwanaume mwingine. Ishiiiiiy
Kweli wewe mapenzi kwako basi tena, tone yako inaonyesha hivyo, pesa..pesa..maisha mazuri...n' the like. The good thing is, kila mtu anapata anachostahili.

Kuna umri/stage ya maisha mtu akifika anasema "to hell", vyovyote inavyokuwa iwe tu.
 
Jina lako lipo kiume sana, I always thought you're a man!
 
Kesi ya upande mmoja hii.

Kwanza kukaa na mtu miaka 9 yote basi kuna kitu wewe huwa unapata kwake mpaka we unampa doh ye anakugea iko kitu.
Kwani hiyo miaka yote mlokua pamoja hukuwahi kugundua hizo tabia zake??
Na vipi kama asingerudiana na ex wake, mngeendelea kua pamoja??

Wadau hapa naona wanasema sababu ni umarioo wa jamaa ila mi nahisi sababu ni wivu wako kwakua jamaa karudiana na ex wake!! Pole sana ila umri umeenda bibie chukua kale kamchepuko kako kafanye njia kuu maisha yasonge.
Hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli wanaume wengi sana wanahemea kwa wake(wanawake) zao. Maisha sijui yamegeuka vipi miaka hii, sijui opportunities zimegeukia upande upi au sisi wanaume tumékuwa legevu sana Ila things are turning upside down rapidly.

Ili ujuwe haya, sikiliza wanawake wengi wanaolalamika kwenye maisha ya ndoa;
1. Infidelity--uchepukaji umekithiri.
2. Brutality--wanaume kuwadunda wake zao sio poa siku hizi
3. Men's dependency to women--majukumu ya me yanahamishwa kwa ke kwa kasi kubwa, sad.
 
Mkuu siongei kwa ubaya. Ila huyu jamaa tumepitia mambo mengi sana kuliko hata nilivyoandika. Naona kuna mdau Watu8 ametoa mada na inamuhusu yeye.
So mimi nina mapungufu yangu ila hata ukimuuliza yeye, anajua nilivojitoa kwake. Suala la usaliti lilishajokeza hadi naona kawaida. Hata akienda kwa hao wanawake zake, hakai nao zaidi ya wiki 2. Labda awe ni mtu wa mkoani wawe wanachati ila sio kukaa karibu.
Yeye aliniacha mara kadhaa huko nyuma. Baada ya siku chache anakuja kuomba msamaha. Ila kwa sasa mimi nimeamua kufanya maisha. Nataka mtu ambaye atakua patner katika maisha yangu. Sio mtu wa kuniambia nimtumie pesa akatazame mpira.
I need someone kuniambia tufanye maisha na tupange future yetu ya kesho. Kama yeye hawezi naona ni afadhali nipambane mimi mwenyewe. Hiyo ndio sababu kubwa.
Najua kwamba naweza kurudi katika maisha yake kama mimi nitapenda. Na yeye anataka hivyo. Anapenda nimpende sana kupitiliza lakini hataki kuwa mwanaume.
Niliwahi kukuta siku moja ameomba shilingi elfu kumi toka kwa mwanamke mwingine. So he is that kind of a person.
Yeye kudate na mwanamke asiyemjua na kutumiana mapicha hovyo kwake ni kitu cha kawaida. Hichi nilichoamua ni nje ya wivu.
1. Mmekaa mkaongea kama wapenzi/wachumba?
2. Ulimshauri atoke hapo nyumbani kwao akajitegemee? Majibu yake yalikuwaje?
3. Swala la future yenu(hamjaoana) mmelizungumziaje?
4. Kipato chake(umesema anafanya kazi) anakitumia wapi?

Maswali ni mengi...
 
Malezi mtoto wa kiume ukimlea kimadeko hatoweza jitegemea asilani..
 
Habari humu ndani?

Kwa kweli ashukuriwe sana alieanzisha JF

Maana kuna muda unatamani kuongea you dont know mtu wa kukusikiliza. Ila JF inasaidia sana kufanya wengine tutoe yanayotuumiza mioyoni mwetu.

Ipo hivi, nimekua kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka 9 na huyu mwenzangu. Tulianza mahusiano tukiwa chuo kikuu. By the time tumeanza mahusiano, sikuwahi kufikiria ndoa. Ingawa mwenzangu alinitamkia mara kadhaa ingawa sina hakika kama ni hali ya utani ama la.

Sasa tumekua watu wazima 30+. Kila mtu ana kazi yake, mi mdada nimepanga kwangu na mwenzangu anaishi kwao bado. Kiukweli maisha ambayo tulikua tunayaishi sikuyapenda. Kila mara mwenzangu anatoka kwao kuja kwangu. Ingawa mimi nina kipato kikubwa sana zaidi ya mwenzangu, lakini bado mimi ni mwanamke ninayehitaji mapenzi ya mwanaume. Lakini mwenzangu amekua kama mtoto kwangu. Anakuja nyumbani kwangu, kila kitu nafanya mimi. Na bado kuna muda ananiomba nimnunulie zawadi.

Kiukweli nilikaa naye chini nikamueleza. Binafsi kupata pesa nyingi zaidi yake sikuona kama ni kikwazo. Nilichohitaji ni kufanya vitu vya kimaendeleo zaidi kuliko starehe. Ila mwenzangu utasikia "Naenda kwenye mpira sasa utanitumia nipate japo mbili tatu?" Kiukweli hali hii ilinifanya nipunguze sana mapenzi kwake. Mwenzangu akaanza wivu labda nina mtu.

Kiukweli, nimejaribu kuongea naye mara kadhaa. Mwenzangu hata mpango wa kujiinua yeye kama yeye hataki. Na sasa nimegundua kwamba wamerudiana na ex wake. Nilichokifanya sikumwambia lakini nilimuomba same day same time, kila mtu afanye maisha yake. Amejaribu kunibembeleza lakini sioni cha maana anachokiongea.

Kuna baadhi ya mali zake ambazo zipo kwangu, nimeshamuomba mara kadhaa azichukue na hataki. Nikimwambia kuwa nazigawa anasema atatuma mtu azifate. Ikifika siku ya kuzifata hata nimwambie mtu anamletea, hajibu chochote.

Nimeamua kuondoka kwenye maisha yake. Sioni future wala sioni akibadilika. Ila l feel bad. Though najua kuèndelea kumganda mtu wa namna hii, itanifanya mimi nisipige hatua ya maisha.

This is what l wanted to share with you JF family.
KARIBU PM. Tuyajenge tukielewana vizuri ukajiridhisha na ushaihidi wa kuona wewe mwenyewe kwa macho sio story,bas nitakuoa ili tumalizie maisha yaliyo baki hapa duniani karibu.
 
Mimi sipendi unafiki... SIKUHURUMII, narudia... SIKUHURUMII...

You're 30+ halafu bado unaleta mapenzi ya Form II?! Look at you... unaweza kukuta "boy" wako keshagonga 35 halafu bado LINAKAA kwao! Ina maana hadi upelekwe kwa psychologist ndipo uambie na miaka 30+ yako una-date kivulana kilicho in his early 20's?

Being 30, 35, 45, is just a number... umri halisi wa mtu upo kichwani mwake na sio miaka aliyoishi duniani!! Utalea watoto wenye umri mkubwa hadi lini dadangu? Umri ndo huo unaenda, and it's matter of time kabla watu wa size yako kuwa akina chige tulio in our 40's!!

REMEMBER... I may be 10+ years older than you, lakini ni wewe ndie utakuwa unakimbilia kwenye expiration date badala ya mimi!! Tumia akili kuchagua mtu sahihi kwako badala ya kutumia moyo or emotion!

Moyo always mislead and make people behave and look stupid!

Eti rafiki yangu Prishaz, unaonaje nikijiweka hapa?! Manake kwa staili za u-snitch wa mtaa, huwa tunaanza kusaga sumu kwanza 😀!

Lowd!!

Nimesoma nikapata mixed feelings! Hivi haya mapenzi ya namna hii yanasababishwaga na nini hasa! Huyu mrembo anajua kupenda hasa mbinguni atakuwa na special sit.

Tukiweka utani pembeni umemwambia jambo la msingi sana, atangulize akili kny mapenzi moyo ufuate taratiiiibu( hapo tusiambiane mambo ya voluntary). Miaka tisa kudate na mamas boy bado mtu anajishauri afanyeje! Mrembo anajitegembea,dume linakaa kwao bado anaona wanaweza kufanya maisha how! Mwenzie ameshachungulia fursa kwa ex bado mrembo anahitaji penzi! Mbona watu wa Mungu ni wengi mno jamani watu wanakwama wapi!!

Chige nakusihi sana hapa usijiweke tunahitaji mtu ambaye hata kama anapenda, reasoning yake nayo iwe vizuri. Kwanza huu uzi umenikumbusha series yako ya sistas jana nilikereka mno maana kuna scenes kama hii ya huyu mrembo ila hii ni funga kazi.

Adios
 
Back
Top Bottom