haswaaaaaaaaaaaaa...
Umenena,
umesema,umezungumza,
umeandika
yaaaani ukweli mtupu hapo nakupa 100/100
sio unapishana na mwanaume kwapa inatema hadi kichefuchefu,
wengine akivua viatu soksi chafu zinatoa harufu hadi mtu unapata mafua
Chupi /boksa inanuka uvundo hadi akiingia ofisini unausikia,
kwenye daladala baadhi wakisimama tooooba kwapa zina nywele ndefu kama anataka kusokota rasta halafu za njanooooooooooooooooooooooo....
Usafi unahamasisha mapenzi, wengine watakuja na hoja ooooh mke hanisafishi, kama mwenyewe hujitunzi mkeo atakutunzaje loh