Mahusiano: Usafi hustawisha mapenzi!

Mahusiano: Usafi hustawisha mapenzi!

majibu yametoka juzi una division ngapi? hebu tupe jina lako na shule tukubandike
moods jukwa la watoto litaanzishwa lini?
 
ungesafiri hadi uvinza ukapiga deki eneo lote la tukio... baada ya hapo hiyo harufu wala usingeisikia
 
Ungekuwa wa maana kama ungeeleza namna ulivyomsaidia huyo binti kujitambua na kuondokana na hilo tatizo na c kumlamu kwa jambo ambalo halitambui.
 
fiksiman

mh! Huyo bint anatatizo la misuli ya pc angekua karibu ningekwambia umlete nimsaidie!
 
Last edited by a moderator:
Sina sababu ya kujificha, jinsi yangu ni ME, Feb.25 ninatimiza miaka 35. Sipatagi company za marafiki wa kiume kwasababu hiyo hapo....story za hivyo huwa sizipendi kabisa. Wanaume wengi hupenda sana kusimulia mambo hayo na simulizi za hivyo kwangu huwa ni dhambi kubwa. Nilifanya ngono ujanani lakini kamwe sikuwahi kuhadithia jambo kwa yeyote.
 
Hiyo ni dalili ya fistula. Mshauri akawaone CCBRT.
 
Sina sababu ya kujificha, jinsi yangu ni ME, Feb.25 ninatimiza miaka 35. Sipatagi company za marafiki wa kiume kwasababu hiyo hapo....story za hivyo huwa sizipendi kabisa. Wanaume wengi hupenda sana kusimulia mambo hayo na simulizi za hivyo kwangu huwa ni dhambi kubwa. Nilifanya ngono ujanani lakini kamwe sikuwahi kuhadithia jambo kwa yeyote.

Still we dont know you, come clean bro....afu nahisi unatatizo kama unashindwa kusimulia maswahiba unayokutana nayo kwa wanaume wenzio, yaani huna hata Best friend broo?
 
Kwani unamjua huyo msichana mwenyewe au mi unanijua? Hapa natafuta ushauri wala sijamuabisha ila pia wapo wengine mmekutana na situation kama hii na itawasaidia kugundua tatizo mapema. Tatizo wasichana wa siku hizi hawatabiriki unaweza kumwambia kwa kumsaidia akachukulia unamtukana au kumdharau. Ila nakuhakikisha mkuu wala sina lengo la kumdhalilisha.
mbona unaleta umachikujua sasa tulia uelezwe mkaka wa vitoto vya miaka ya 90:shock:
 
fiksiman

Na bado unakazania kuwa wasichana wote! Unastaajabisha ndugu yangu. Hivyo huyu ndio msichana wako wa mwanzo ? Mbona hujalalamika hapa? Kwa ufupi msichana wako ana tatizo na usipokuwa tayari kumueleza ukweli ili mpate utatuzi basi utaendelea kumfanya wa show off tu!
 
Last edited by a moderator:
kaka mi najua hutaki kumsaidia ukijua unagonga na kuchapa lapa hiyo ndo sababu kubwa.....km kwel unampenda na unataka kumbadilisha kwa kumpima km anachukia ukimwambia ukwel...anza na kumwambia" Baby leo mbona hujapendeza km siku nyingine?" akikasirika kwa hilo jua hapendi kuambiwa ukwel bt akiwa nomo mvutie kasi kwa kumwambia hilo.nadhan tumeelewana.for more ushaur niPM....but tu km unamalengo kwel na huyo dogo,km unazuga DO NOT.vigezo na mashrit kuzingatiwa.
 
Kitu wanaume hamjui, wanawake ni tofauti sana na wanaume .
Maumbile yao yana changamoto nyingi na kama hazijashughulikiwa ipasvyo,ni kazi.

Mwanamke huendelea kuboresha mambo with time na ndio maana wasichana wadogo sana si busara uanze kuwapigisha kwata.
Wapeni muda wajifahamu, wajielewe na wajijue katika kujiandaa kwenye masuala nyeti.
 
Kitu wanaume hamjui, wanawake ni tofauti sana na wanaume .
Maumbile yao yana changamoto nyingi na kama hazijashughulikiwa ipasvyo,ni kazi.

Mwanamke huendelea kuboresha mambo with time na ndio maana wasichana wadogo sana si busara uanze kuwapigisha kwata.
Wapeni muda wajifahamu, wajielewe na wajijue katika kujiandaa kwenye masuala nyeti.

wapewe muda mpaka umri gani labda??????
 
wapewe muda mpaka umri gani labda??????
Angalau msichana aliyefikisha miaka 20 utategemea ana "experience" ya miaka isiyopungua 5 katika kujua namna ya kujitunza baada ya balehe....
mtoa mada anazungumzia "harufu"mbaya...
hiyo ni matokeo ya mchanganyiko wa vichocheo vinavyosababishwa na mchakato wa homoni za "mapenzi" na pia
jasho na mengine.Angejua anahitaji kujiswafi vipi katika sehemu nyeti na pia wakati wote na hasa akiwa kwenye menses... tatizo lisingekuwa la kuogofya hivyo.
 
Angalau msichana aliyefikisha miaka 20 utategemea ana "experience" ya miaka isiyopungua 5 katika kujua namna ya kujitunza baada ya balehe....
mtoa mada anazungumzia "harufu"mbaya...
hiyo ni matokeo ya mchanganyiko wa vichocheo vinavyosababishwa na mchakato wa homoni za "mapenzi" na pia
jasho na mengine.Angejua anahitaji kujiswafi vipi katika sehemu nyeti na pia wakati wote na hasa akiwa kwenye menses... tatizo lisingekuwa la kuogofya hivyo.

kuna wengine wachafu tu
unakuta 24 bado still hajui kujisafisha...
 
kuna wengine wachafu tu
unakuta 24 bado still hajui kujisafisha...

Huo siyo utoto ni uzembe.Wako hata wenye miaka 40 wachafu!
mleta mada anawazungumzia waliozaliwa miaka ya 90...kama kazaliwa 1998 ana miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom