Belleringal
Member
- May 25, 2020
- 83
- 155
- Thread starter
- #61
Salute kwenu makamanda, ila nawasema tu kidogo hapa.
Mdada hao watu ni mal aya ova. wanakuwaga na wanawake wengi hatari.
Kuna mmoja alinitokelezea, yaani hata hatujafikia muafaka, keshanichanganya, mara nimekuona kituoni mara nilikuona na chupa ya chai hosp.
Eee Mungu nilimkimbia, (hakunila maana hamchelewi)
Dada ushukuru tu hao ni wao kwa wao wakishindwana ni wanajuana.
Heshima kubwa sana kwenu walinzi wa Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Asante sana