Mahusiano na mwanajeshi...

Mahusiano na mwanajeshi...

Hahahaha dah mjeda yupo distance tena asicheki warembo eti kisa yupo nawe... Be serious bwana... Hayo malong distance ni kudanganyana tuu... Vipi mjeshi alikuwa kashakula mzigo nini
 
Mimi nilifanikiwa kuwa na mahusiano na mwanajeshi huko Dar. Mahusiano yetu yalikuwa ni ya long distance, nilimpenda sana. Niliona nimepata mwanaume coz kila siku huwa ananiremind kwa kuniambia "ongea na wazee wako waambie kuwa kuna mtu anataka alete barua"

Then I told my grandma lakini kama utani tu and she agreed hatakama hakujua kua nilikuwa nafanya utani ama laa. Alimtumia rafiki yake ili ajifanye mjomba wake he called me and told me kuwa nimwambie process za kabila letu zinakuaje.

I told him lakini mpaka sasa hakuna cha kupigiwa simu na huyo mjomba wake na yeye tumeachana bcoz of mawasiliano mabovu. The guy was always busy commenting kwa pics za wanawake mitandaoni, no call. Na kama tukichat ujue I was the one who started the damn conversation.

Nafurahia sikulifikisha hili zimazima kwa wazazi bcoz sijui ingekuwaje. And btn he is not the first soldier ambae niliwahi kuwa na mahusiano naye .
Wengi wanawezana wenyewe
mademu wengi wanawatumia kama madanga
 
Salute kwenu makamanda, ila nawasema tu kidogo hapa.

Mdada hao watu ni mal aya ova. wanakuwaga na wanawake wengi hatari.

Kuna mmoja alinitokelezea, yaani hata hatujafikia muafaka, keshanichanganya, mara nimekuona kituoni mara nilikuona na chupa ya chai hosp.

Eee Mungu nilimkimbia, (hakunila maana hamchelewi)

Dada ushukuru tu hao ni wao kwa wao wakishindwana ni wanajuana.

Heshima kubwa sana kwenu walinzi wa Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
achana na soldiers,njoo kwetu wahasibu ule raha za dunia bibie.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mimi nilifanikiwa kuwa na mahusiano na mwanajeshi huko Dar. Mahusiano yetu yalikuwa ni ya long distance, nilimpenda sana. Niliona nimepata mwanaume coz kila siku huwa ananiremind kwa kuniambia "ongea na wazee wako waambie kuwa kuna mtu anataka alete barua"

Then I told my grandma lakini kama utani tu and she agreed hatakama hakujua kua nilikuwa nafanya utani ama laa. Alimtumia rafiki yake ili ajifanye mjomba wake he called me and told me kuwa nimwambie process za kabila letu zinakuaje.

I told him lakini mpaka sasa hakuna cha kupigiwa simu na huyo mjomba wake na yeye tumeachana bcoz of mawasiliano mabovu. The guy was always busy commenting kwa pics za wanawake mitandaoni, no call. Na kama tukichat ujue I was the one who started the damn conversation.

Nafurahia sikulifikisha hili zimazima kwa wazazi bcoz sijui ingekuwaje. And btn he is not the first soldier ambae niliwahi kuwa na mahusiano naye .
nakukumbusha tu baby! Mama. "sisi huku tuna kitu; inaitwa WWW3 namaanisha: WAR~WOMAN~WISKEY hvo we ni sehem yangu kukutumia; wakat napoza uchovu wa koz!/kaz! Ngum!!! Any way...nishakujua pr!sca!! Wangu.' kwa sasa niko darful, sudan!!! Nikilud takutafta.
 
Lab
nakukumbusha tu baby! Mama. "sisi huku tuna kitu; inaitwa WWW3 namaanisha: WAR~WOMAN~WISKEY hvo we ni sehem yangu kukutumia; wakat napoza uchovu wa koz!/kaz! Ngum!!! Any way...nishakujua pr!sca!! Wangu.' kwa sasa niko darful, sudan!!! Nikilud takutafta.
Labda nafanana na huyo unaemsema but Mimi siye 😊🤝
 
Back
Top Bottom