Mahusiano na mwanajeshi...

Mahusiano na mwanajeshi...

Raisi kawaambia wachukue corona kama vita yuko vitani mama acha apambane kwanza na vita hii ngumu we ujui tu sema nn kama vip njoo kwangu me pia mwanajeshi hodari
 
Kwahyo Ballerin naona umeona uje kunisema huku silinishakwambia nitaenda kambini wakinipa likizo nitakuwa free


Embu acha mapuuza nione huruma hapa Niko deti na SMG yangu nalinda mashamba ya mpunga
 
Usipoangalia vizuri utaishia na mahusiano hayo hayo ya long distance ya kwenye mitandao alikuonea huruma.sababua angekutapeli
 
Back
Top Bottom