Mahusiano na mtu nisiyemjua

Mahusiano na mtu nisiyemjua

Ni kweli unamshukuru Mungu hakukufanya chochote Mdogo wangu. Na hasara alizokutengenezea je? Simu yako?20k yako[emoji2]Muda wako? Na hela ya lodge walikusamehe? AU?

Kingine..Siku ya kwanza unawezaje kuonana na mtu mnapelekana hadi Lodge? Huogopi na hii Dunia inayoongezeka matukio kila leo?
Aliliwa na lodge alitaitiwa akalipa na akamlipa mlaji simu na 20
 
Aliliwa na guest alitaitiwa akalipa yeye sababu chumba kilitumika, akaibiwa simu na pesa ,kifupi aliliwa na alimlipa mlaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa alinila [emoji23]kaliwe na wewe ufurahi
 
Angesema anatokea kwa mpalange usingehangaika kuonana nae ila nguvu ya Dubai imekufanya umkubali kabla hamjaonana teh!

Hadithi yetu inatufundisha tuachane na tamaaa

Hope hukuliwa kweli kama ulivyoandika hapo
Hata kama aliliwa aliwe tu maana anaimwagilia maji mwenyewe.
 
We acha tu na alikuwa na alama ya kama panga si panga kisu si kisu usoni ....mjinga Mimi
Ninaamini umekuwa na akili sasa;
Ushauri wangu kwa mabinti;
Unapoona dili zuri sana mwanzoni ujue unaenda kuliwa.wanaime bora hutengenezwa, jiepusheni na shotikati hii siri nawaibia.
Wanaume wanaoonyesha wanakuja na mafanikio wengi wanakuja kuwala na kuwatupa mbali tapeli kama huyu
 
Tuache unafki jamani mbona hapa daslam wanaopigwa kwa njia hiyo ni wengi tu hakuna cha kushangaa hapa muhimu ni kutomuamini mtu usiyemfahamu mjini kila mtu mpigaji watoto wa chuga wanakuambia mbele mbele yao [emoji23]
Wapigaji wanasababisha mpaka sisi ambao hatuna tabia ya kifedhuli kuunganishwa kwenye grp la majanga.
 
Nimeona nishare hii story ......ilikuwa mwaka 2019 enzo hizo nakaa tabata kimanga KWA dada yangu . Kuna siku niliingia whatsapp nikakutana na msg ambayo namba ilianzia na +1____ , ilikuwa inasema "mambo angel za siku nyingi"?

Ni mtu alien sound like he /she knows me ...nilijibu tu kifupi "poa" lakini nilimuuliza ni nani bcoz namba ngeni . Aliniambia anaitwa John yupo dubai ( not sure) ...then tukawa tunaendelea kuchat ,kuchat kila siku almost 2 months tunawasiliana mpaka tukawa na MAHUSIANO ya online tu ...

One day aliniambia that anarudi tz so atanitafta na no nyingine .......kweli bhn wiki ilivyoisha akanitumia msg kuwa yupo tz na akanipigia pia ...akaniambia kesho yake tuonane [emoji2957].... Kesho ikafika bhn akaniambia nitamkuta mbezi ya kimara...kweli mtoto wa kike nikajiandaa nikaenda tukawasiliana nikiwa stand ....akaja tukasalimiana ....bas bhn nikapandishwa pikipiki ati tunaenda kibaha kuangalia shamba lake ...tukaenda bhn ...

Hamna Cha shamba wala nini akakodi lodge (hakulipia[emoji24]) sasa tukawa tumekaa KWA nje (lakini ni mazingira ya ndani ) ilikuwa siku ya jumamoc tunapiga story kabla ya kuingia ndani akaniuliza una acc ya bank nikqjibu sina , business gani unayo ...nikqjibu kuku nauza chotara .....basi tukaingia ndani akaniuliza una 50 hapo?

Nikqjibu hapana .....akatoka nje .. akarudi akaazima simu that ampigie mdogo wake ...kapiga wakaongea ....kabla yalolote kufanyika akatoka Tena mara ya tatu nje [emoji24]jaman nyuma ya kasha la simu niliweka 20k huku mkononi sina hata mia ...

Jamaa akasepa na simu baada ya kuhisi sina pesa ....inaonekana ni mtandao wa wezi na inaonekana nilikuwa na chat na watu wawili tofauti ...yule wa KWAnza na huyu nilieonana nae ......nashukuru mungu hatukufanya kitu [emoji4][emoji119]

majina ya hao watu wanaitwa dodoshe.
wakunala mzigo na vitu wanaondoka navyo kama simu,pesa,laptop na n.k
 
Mmmh sijawai ona lodge uingie upewe na room pasipo kulipia kwanza...!ww sema mbususu imechapwa cm ikachapwa na 20k ikachapwa yan umepigwa hat trick ila jifunze kwanza alaf kuwa mjanja
 
Wanachama wote wa UWABATA
( Umoja wa Wanaume Bahili Duniani)
tukutane hapa kumpongeza mwenzetu kwa chake Kitendo Cha uzalendo Uliotukuka.

Kwakweli katuwakilisha vema.

Na hii iwe Ni fundisho kwa maslay queen wote wa mjini

NAWASILISHA[emoji106]View attachment 1973027
Mwenetu hapa kibinadamu alikosea lkn kiuwabata asee mwenetu aliupiga mwingi yan
 
Matapeli wapo kila mahali. Watu wanatapeliwa mamilion sembuse simu na elfu 20. Ulimkata maini ulivyosema huna pesa akaona ajiwahie simu. Hiyo sura yenye alama ya panga haikukuogopesha?
 
Nimeona nishare hii story ......ilikuwa mwaka 2019 enzo hizo nakaa tabata kimanga KWA dada yangu . Kuna siku niliingia whatsapp nikakutana na msg ambayo namba ilianzia na +1____ , ilikuwa inasema "mambo angel za siku nyingi"?

Ni mtu alien sound like he /she knows me ...nilijibu tu kifupi "poa" lakini nilimuuliza ni nani bcoz namba ngeni . Aliniambia anaitwa John yupo dubai ( not sure) ...then tukawa tunaendelea kuchat ,kuchat kila siku almost 2 months tunawasiliana mpaka tukawa na MAHUSIANO ya online tu ...

One day aliniambia that anarudi tz so atanitafta na no nyingine .......kweli bhn wiki ilivyoisha akanitumia msg kuwa yupo tz na akanipigia pia ...akaniambia kesho yake tuonane [emoji2957].... Kesho ikafika bhn akaniambia nitamkuta mbezi ya kimara...kweli mtoto wa kike nikajiandaa nikaenda tukawasiliana nikiwa stand ....akaja tukasalimiana ....bas bhn nikapandishwa pikipiki ati tunaenda kibaha kuangalia shamba lake ...tukaenda bhn ...

Hamna Cha shamba wala nini akakodi lodge (hakulipia[emoji24]) sasa tukawa tumekaa KWA nje (lakini ni mazingira ya ndani ) ilikuwa siku ya jumamoc tunapiga story kabla ya kuingia ndani akaniuliza una acc ya bank nikqjibu sina , business gani unayo ...nikqjibu kuku nauza chotara .....basi tukaingia ndani akaniuliza una 50 hapo?

Nikqjibu hapana .....akatoka nje .. akarudi akaazima simu that ampigie mdogo wake ...kapiga wakaongea ....kabla yalolote kufanyika akatoka Tena mara ya tatu nje [emoji24]jaman nyuma ya kasha la simu niliweka 20k huku mkononi sina hata mia ...

Jamaa akasepa na simu baada ya kuhisi sina pesa ....inaonekana ni mtandao wa wezi na inaonekana nilikuwa na chat na watu wawili tofauti ...yule wa KWAnza na huyu nilieonana nae ......nashukuru mungu hatukufanya kitu [emoji4][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole dada
 
Angesema anatokea kwa mpalange usingehangaika kuonana nae ila nguvu ya Dubai imekufanya umkubali kabla hamjaonana teh!

Hadithi yetu inatufundisha tuachane na tamaaa

Hope hukuliwa kweli kama ulivyoandika hapo
Fikra duni Kwaio maskini ndio wako loyal waoaji ukidate na tajiri ni tamaa unapenda pesa
Hilarious [emoji23]
 
Mimi nilizuga ase nilisema jamaa alikuwa ni jirani yangu kutoka moro na dar ni mgeni ila nilisikia story kuwa ni mwizi mwizi lakini niridhani ameacha hiyo tabia + hawezi niibia Mimi jirani ambae wazazi wetu wanajuana [emoji23][emoji23][emoji23] ningewaambia story kamili ningechekwa ....huwez amini nilisaidiwa nauli na jamaa flani wawili wa simba fans ... That day nilivaa jezi ya simba
Aisee pole Sana mkuu[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom