Mahusiano na mtu nisiyemjua

Mahusiano na mtu nisiyemjua

Nimecheka sana
Seems ulichat na mtu bila hata kutaka picha yake wala video call bila kushtuka?
Uliposikia Dubai chupi ikashika?
Mtu katokea Dubai hawezi kukodi hata taxi/uber?
Imapelekwa shamba ukaishia lodge?
Daaah pole Angel
We acha tu na alikuwa na alama ya kama panga si panga kisu si kisu usoni ....mjinga Mimi
 
Dada Angel kuna watu watukushangaa lakini kuna baadhi ya jinsi ya KE na ME inapigwa hapa mjini kwa aina hiyo hiyo au ya aibu sana. Kuna mmoja aliwahi kuvuta demu mwisho wa siku demu kasepa na kila kitu kuanzia wallet, PC na vikolokolo vingine. Alibakiwa tu na suruali na shati, kuna mbinu nyingi sana za upigaji na uhuni hapa town.
Muhimu nakuomba usitukatae tunaofahamiana, binadamu kufanikiwa lazima upate mtu unaemfahamu tabia yake halisi na siyo kukimbilia watu wa ughaibuni. Sisi wa bongo tunatosha Madam muhimu ni mipango, heshima na ushauri mzuri wenye matokeo chanya.
 
Kuna watu wanatumia namba za +1 na wapo tanzania

Wewe kusikia Dubai tu ukajilainisha sababu ta tamaa

Wangekutatua rinda hilo aiseeh
 
Angesema anatokea kwa mpalange usingehangaika kuonana nae ila nguvu ya Dubai imekufanya umkubali kabla hamjaonana teh!

Hadithi yetu inatufundisha tuachane na tamaaa

Hope hukuliwa kweli kama ulivyoandika hapo
Aliliwa na guest alitaitiwa akalipa yeye sababu chumba kilitumika, akaibiwa simu na pesa ,kifupi aliliwa na alimlipa mlaji
 
Kwa hiyo aliposepa alikutelekezea malipo ya chumba?
Alichagua chumba akaniambia muhudumu asubiri kidogo tukakaa restaurant so akaondoka kidogo akajifanya kaenda lipia but niligundua hakulipia pale muhudumu aliponifuata that anataka kuachia chumba kichukuliwe ...muda huo jamaa alikuwa katoka kama dk chache
 
Kwa kweli wanawake!
HAPO NDIPO MNAPO NIACHAGA HOI....

unaenda kibaha hujui mtaendaje or mta rudije na itakuwa ni saa ngapi...??
 
Kabisa huko nyuma nilikuwa nasikia na naona haya mambo mtu mjinga tu hufanyiwa lakini dah yapo ase
 
Inakua hivi... Jamaa anakua na mshikaji wake wa mbele anampanga

So demu muda wote anajua anachat na wambele... Ila hapo unakuta Picha hamna wala kupiga video hamna.


Alafu baadae anatafutwa na mwingine wa hapahapa Bongo .


Anamwambia nko TZ banaaa. Tuonane.

Demu anajua kweli jamaa kaja. Kumbe yule wa mbele na huyu ni watu wawili tofauti

Tena anabahati..alikua anatombwa., na simu wanabeba na hela wanabeba. Na lodge anakosa chakulipia, msimamizi wa lodge anampiga mashine tena.
Aliliwa na lodge alitaitiwa akalipa na akamlipa mlaji simu na 20
 
1. Weka namba zake huyo tapeli tumuulize kama alikukula au la.
2. Na utawasaidia mabinti wengine ambao anawafanyia mchezo huo kwa kutumia namba hizo.
3. Tapeli inabidi afahamike, sasa unamficha namba zake kwa nini?
 
Yani kweli unakubali kwenda kukutana na mtu usiemjua mbali, kwanini usimwambie aje mitaa ambayo ni karibu na kwenu?? kama vile hiyo haitoshi anakupandisha bodaboda tena umbali mrefu na unakubali, sasa shamba unaenda kuliangalia kama nani?? Kisa tu ana namba ya simu ya nje???
Halafu inaonekana alikula na bado akaondoka na simu na hela yako vile vile
Aliliwa na lodge alitaitiwa akalipa na akamlipa mlaji simu na 20
 
Hii ilomtokea mtoa mada,
Sio suala geni Kwenye jamii yetu.

Hili Limo hata humu humu JF (hasa MMU na CHITCHAT)

Watu mnatongozana,
Mnaitana wapenzi, mnabembelezana, mnamisiana, mnasalitiana na sometimes mpaka machozi yanawatoka kwa watu msowajua.

Yakiwakuta,
vilio Kama hivi Kama kwa mwenzetu mtoa mada.

Honestly,
Ukiweka masihara pembeni,

Kiukweli nimeguswa Sana, Pole sana mtoa mada

Mchango wangu Sijui nawasilisha kwa Nani?
Aliliwa na lodge alitaitiwa akalipa na akamlipa mlaji simu na 20
 
Kuna kitu nafikiria hapa Sipati picha, najikuta nacheka sana

Nawaza mtoa mada alirudi vipi nyumbani kwake kutokea uko kibaha.

Ukzingatia tayar simu Hana na pesa Hana.

Sipati picha maongezi yake na KONDA wa daladala yalikua vipi akimfafanulia jinsi gani atalipia nauli yake
Aliliwa na lodge alitaitiwa akalipa na akamlipa mlaji simu na 20
 
Back
Top Bottom