Belleringal
Member
- May 25, 2020
- 83
- 155
- Thread starter
- #61
We acha tu na alikuwa na alama ya kama panga si panga kisu si kisu usoni ....mjinga MimiNimecheka sana
Seems ulichat na mtu bila hata kutaka picha yake wala video call bila kushtuka?
Uliposikia Dubai chupi ikashika?
Mtu katokea Dubai hawezi kukodi hata taxi/uber?
Imapelekwa shamba ukaishia lodge?
Daaah pole Angel




