Mahusiano na mtu nisiyemjua

Mahusiano na mtu nisiyemjua

Hahahahaha

Najaribu kuwazaa...


Embu tufanye ivi

Kuanzia ilianzia lodge kwa Muhudumu..


Demu.....et kaka/dada kaka nilokua naye kaenda wapi??


Muhudumu....mmmhhhh naona alitoka nje ya geti ,kwan vipi


Demu.... Aahhh naona muda unaenda ila harudi


Muhudum... Mmhhh ungempigia simu


Demu....haaaaa simu yangu nmempa ili aongee


Muhudum ...mmhhhhh lkn si nimtu wako wamuda mrefu

Demu...hahaha hamna banaa siunajua mapenzi ,hatujuan sanaa nikm wiki mbili tu

Muhudum.... Mmmhh hayaaaa


BAADA YA NUSU SAAA


muhudum.... Kwa kutumia simu yake..namba unayopiga haipatikan


Demu....hiiii jamaaanii eeehh uwiiiiiii nmeibiwaaa


Muhudum... Pole dada, ila nachumba hajalipaaa



Mnasemaje???

Tifanye kama muhudumu alikua Mwanaume, ili nimalizie kikichoendelea ?? Au tufanye alikua ni mwanamke ???



Semeni..dunia nihii hii na watu nihawahawa nando sisis
Mbavu Sina
IMG_20210928_094452.jpg
 
Hahahahaha

Najaribu kuwazaa...


Embu tufanye ivi

Kuanzia ilianzia lodge kwa Muhudumu..


Demu.....et kaka/dada kaka nilokua naye kaenda wapi??


Muhudumu....mmmhhhh naona alitoka nje ya geti ,kwan vipi


Demu.... Aahhh naona muda unaenda ila harudi


Muhudum... Mmhhh ungempigia simu


Demu....haaaaa simu yangu nmempa ili aongee


Muhudum ...mmhhhhh lkn si nimtu wako wamuda mrefu

Demu...hahaha hamna banaa siunajua mapenzi ,hatujuan sanaa nikm wiki mbili tu

Muhudum.... Mmmhh hayaaaa


BAADA YA NUSU SAAA


muhudum.... Kwa kutumia simu yake..namba unayopiga haipatikan


Demu....hiiii jamaaanii eeehh uwiiiiiii nmeibiwaaa


Muhudum... Pole dada, ila nachumba hajalipaaa



Mnasemaje???

Tifanye kama muhudumu alikua Mwanaume, ili nimalizie kikichoendelea ?? Au tufanye alikua ni mwanamke ???



Semeni..dunia nihii hii na watu nihawahawa nando sisis
Ebu tuletee coversation ya mtoa mada vs KONDA wa daladala
 
Mimi nilizuga ase nilisema jamaa alikuwa ni jirani yangu kutoka moro na dar ni mgeni ila nilisikia story kuwa ni mwizi mwizi lakini niridhani ameacha hiyo tabia + hawezi niibia Mimi jirani ambae wazazi wetu wanajuana ningewaambia story kamili ningechekwa ....huwez amini nilisaidiwa nauli na jamaa flani wawili wa simba fans ... That day nilivaa jezi ya simba
 
Kuna kitu nafikiria hapa Sipati picha, najikuta nacheka sana

Nawaza mtoa mada alirudi vipi nyumbani kwake kutokea uko kibaha.

Ukzingatia tayar simu Hana na pesa Hana.

Sipati picha maongezi yake na KONDA wa daladala yalikua vipi akimfafanulia jinsi gani atalipia nauli yake
My dear nilisaidiwa na mashabiki wa simba wawili nauli
 
Ooohooo my Eyes ...... Uwii daahh.... Let me confess this , your profile picture shows off a sexy ,hot and beautiful angel, only the halo and wings are missing...


Guess what? your second name must be 'storm'? Because, you have blown me away.


Yaan Hii sura yako. Kuna mdada humu JF anayo kabisaa, Hizo Lips zako. macho ,sura ilivyojaaa ohooooooo


Wakubwa wanafaidi jamaan, nikikua mtanikoma.... Wee dada wa JF. Uliyenikataa kisa bado nasoma sekondari, NIKIKUA UTANIKOMA.
wew wew
 
Nimeona nishare hii story ......ilikuwa mwaka 2019 enzo hizo nakaa tabata kimanga KWA dada yangu . Kuna siku niliingia whatsapp nikakutana na msg ambayo namba ilianzia na +1____ , ilikuwa inasema "mambo angel za siku nyingi"?

Ni mtu alien sound like he /she knows me ...nilijibu tu kifupi "poa" lakini nilimuuliza ni nani bcoz namba ngeni . Aliniambia anaitwa John yupo dubai ( not sure) ...then tukawa tunaendelea kuchat ,kuchat kila siku almost 2 months tunawasiliana mpaka tukawa na MAHUSIANO ya online tu ...

One day aliniambia that anarudi tz so atanitafta na no nyingine .......kweli bhn wiki ilivyoisha akanitumia msg kuwa yupo tz na akanipigia pia ...akaniambia kesho yake tuonane .... Kesho ikafika bhn akaniambia nitamkuta mbezi ya kimara...kweli mtoto wa kike nikajiandaa nikaenda tukawasiliana nikiwa stand ....akaja tukasalimiana ....bas bhn nikapandishwa pikipiki ati tunaenda kibaha kuangalia shamba lake ...tukaenda bhn ...

Hamna Cha shamba wala nini akakodi lodge (hakulipia) sasa tukawa tumekaa KWA nje (lakini ni mazingira ya ndani ) ilikuwa siku ya jumamoc tunapiga story kabla ya kuingia ndani akaniuliza una acc ya bank nikqjibu sina , business gani unayo ...nikqjibu kuku nauza chotara .....basi tukaingia ndani akaniuliza una 50 hapo?

Nikqjibu hapana .....akatoka nje .. akarudi akaazima simu that ampigie mdogo wake ...kapiga wakaongea ....kabla yalolote kufanyika akatoka Tena mara ya tatu nje jaman nyuma ya kasha la simu niliweka 20k huku mkononi sina hata mia ...

Jamaa akasepa na simu baada ya kuhisi sina pesa ....inaonekana ni mtandao wa wezi na inaonekana nilikuwa na chat na watu wawili tofauti ...yule wa KWAnza na huyu nilieonana nae ......nashukuru mungu hatukufanya kitu
Nimecheka sana
Seems ulichat na mtu bila hata kutaka picha yake wala video call bila kushtuka?
Uliposikia Dubai chupi ikashika?
Mtu katokea Dubai hawezi kukodi hata taxi/uber?
Imapelekwa shamba ukaishia lodge?
Daaah pole Angel
 
Back
Top Bottom