DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,518
Atakua Ni kibaka mzoefu[emoji23]Alafu sasa dah alikuwa na alama ya kama panga sjui usoni [emoji119]
Inamaana ata uko wasap mlkokua mnachati hujawai ata kuomba au kuona picha ake?
Atakua Ni kibaka mzoefu[emoji23]Alafu sasa dah alikuwa na alama ya kama panga sjui usoni [emoji119]
Mtakufa sio siku zenu, sio kila sehemu ya kudangaNimeona nishare hii story ......ilikuwa mwaka 2019 enzo hizo nakaa tabata kimanga KWA dada yangu . Kuna siku niliingia whatsapp nikakutana na msg ambayo namba ilianzia na +1____ , ilikuwa inasema "mambo angel za siku nyingi"?
Ni mtu alien sound like he /she knows me ...nilijibu tu kifupi "poa" lakini nilimuuliza ni nani bcoz namba ngeni . Aliniambia anaitwa John yupo dubai ( not sure) ...then tukawa tunaendelea kuchat ,kuchat kila siku almost 2 months tunawasiliana mpaka tukawa na MAHUSIANO ya online tu ...
One day aliniambia that anarudi tz so atanitafta na no nyingine .......kweli bhn wiki ilivyoisha akanitumia msg kuwa yupo tz na akanipigia pia ...akaniambia kesho yake tuonane [emoji2957].... Kesho ikafika bhn akaniambia nitamkuta mbezi ya kimara...kweli mtoto wa kike nikajiandaa nikaenda tukawasiliana nikiwa stand ....akaja tukasalimiana ....bas bhn nikapandishwa pikipiki ati tunaenda kibaha kuangalia shamba lake ...tukaenda bhn ...
Hamna Cha shamba wala nini akakodi lodge (hakulipia[emoji24]) sasa tukawa tumekaa KWA nje (lakini ni mazingira ya ndani ) ilikuwa siku ya jumamoc tunapiga story kabla ya kuingia ndani akaniuliza una acc ya bank nikqjibu sina , business gani unayo ...nikqjibu kuku nauza chotara .....basi tukaingia ndani akaniuliza una 50 hapo?
Nikqjibu hapana .....akatoka nje .. akarudi akaazima simu that ampigie mdogo wake ...kapiga wakaongea ....kabla yalolote kufanyika akatoka Tena mara ya tatu nje [emoji24]jaman nyuma ya kasha la simu niliweka 20k huku mkononi sina hata mia ...
Jamaa akasepa na simu baada ya kuhisi sina pesa ....inaonekana ni mtandao wa wezi na inaonekana nilikuwa na chat na watu wawili tofauti ...yule wa KWAnza na huyu nilieonana nae ......nashukuru mungu hatukufanya kitu [emoji4][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole Sana mkuuWe acha tu na alikuwa na alama ya kama panga si panga kisu si kisu usoni ....mjinga Mimi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Ah wapi staki
Mmmmmh me wa dubai ndio naweza ogopa zaidi maana ndio mafilauni wakubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angesema anatokea kwa mpalange usingehangaika kuonana nae ila nguvu ya Dubai imekufanya umkubali kabla hamjaonana teh!
Hadithi yetu inatufundisha tuachane na tamaaa
Hope hukuliwa kweli kama ulivyoandika hapo
Hahaha dah sasa kwann asingekutafuna kwanzaNimeona nishare hii story ......ilikuwa mwaka 2019 enzo hizo nakaa tabata kimanga KWA dada yangu . Kuna siku niliingia whatsapp nikakutana na msg ambayo namba ilianzia na +1____ , ilikuwa inasema "mambo angel za siku nyingi"?
Ni mtu alien sound like he /she knows me ...nilijibu tu kifupi "poa" lakini nilimuuliza ni nani bcoz namba ngeni . Aliniambia anaitwa John yupo dubai ( not sure) ...then tukawa tunaendelea kuchat ,kuchat kila siku almost 2 months tunawasiliana mpaka tukawa na MAHUSIANO ya online tu ...
One day aliniambia that anarudi tz so atanitafta na no nyingine .......kweli bhn wiki ilivyoisha akanitumia msg kuwa yupo tz na akanipigia pia ...akaniambia kesho yake tuonane [emoji2957].... Kesho ikafika bhn akaniambia nitamkuta mbezi ya kimara...kweli mtoto wa kike nikajiandaa nikaenda tukawasiliana nikiwa stand ....akaja tukasalimiana ....bas bhn nikapandishwa pikipiki ati tunaenda kibaha kuangalia shamba lake ...tukaenda bhn ...
Hamna Cha shamba wala nini akakodi lodge (hakulipia[emoji24]) sasa tukawa tumekaa KWA nje (lakini ni mazingira ya ndani ) ilikuwa siku ya jumamoc tunapiga story kabla ya kuingia ndani akaniuliza una acc ya bank nikqjibu sina , business gani unayo ...nikqjibu kuku nauza chotara .....basi tukaingia ndani akaniuliza una 50 hapo?
Nikqjibu hapana .....akatoka nje .. akarudi akaazima simu that ampigie mdogo wake ...kapiga wakaongea ....kabla yalolote kufanyika akatoka Tena mara ya tatu nje [emoji24]jaman nyuma ya kasha la simu niliweka 20k huku mkononi sina hata mia ...
Jamaa akasepa na simu baada ya kuhisi sina pesa ....inaonekana ni mtandao wa wezi na inaonekana nilikuwa na chat na watu wawili tofauti ...yule wa KWAnza na huyu nilieonana nae ......nashukuru mungu hatukufanya kitu [emoji4][emoji119]
Unaweza ukawa Tanzania na ukatumia namba ya Marekani kwa WattsapSiona nilivyo mjanja .
Ulichat na watu wawili.
Wa mamtoni mwengine.
Ulokutana naye mwingine.
Kwa akili za mademu wetu tuloumbiwa Nchini kwetu TANZANIA
Hiyo mbinu, unaweza kuwala sanaaaa sanaa yaan ukawala mpaka mashinee ikaishiaaa kama penseli ukabaki na ufuto.
MSINISHUKIE???
Kwa sababu mademu wabongo wanaamini kukaa nje una hela.
Sasa unawalaje????
Mwanao wa mbele unampanga vizurii anakua anachatisha.
Kisha, anamwambia.... baby nakuja wiki ijayo nikuone..naomba utafute lodge nzuri ya uwezo wako ulipiaa , ulipie nitakuja nakupa hela.
Demu wa watu atajitutumua, anaenda kuvunja kibubu, kama nihawa wenye vijisenti, nakuambia atawatangazia wenzake balaaaaaaaaa "baby wa US anakuja shoooooooo ,mtoto wa watu anapanda ndegee kufata K ya kizaramo shoooooooo , nakuambiaaaje, nataka nimpe maunoooo hayoo shoooo maunooo mpaka asitamani kurudi US"
Masikin wa watu anaenda Anavuta mpunga kwa ATM....
Siku ya siku atalipiaa[emoji23][emoji23]
Baby tayariiiiii
Masikinii jamaaan hahahahaha
Mara wa US anablock ..
Anatafutwa na wa TZ.
Wa TZ anapokelewaaaa kwa bashashaaaa, analishwa msosi wa nguvu, anaogeshwaa..
Bao moja linapigwa bafunii
Wanarudi kitandan, demu anapigwaa ,anapelekewa motoooo kwa muda wote wa siku alizolipia.
Baadae muhuni anamuaga kua anaenda kwa ndugu, sijui hajabadili pesa ,...ivo dem amkope kama laki moja.
Anampaaaa
Muhuni anasepaaaaaaaa na laki..kala mbususu KWA GHARAMA ZA DEMU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na muhuni mwenyewe kumbe yupo kwa ARVs kwa bahati mbaya suala la kutumia ndomu ,kwa mademu,huwa ni uamuzi wa mwanaume [emoji23][emoji23]
Kumbe Jamaa ni mzima wa Afya, ila demu ndo kaungua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HERI NGUO ZIRARUKE KULIKO AKILI. MAANA UTAJIRI WA MASIKINI NI UJINGA WAKE MWENYEWE.
mkinishukia, nawashukia vilevile.
Joanah nakusupport hapa atakua aliliwa sema kusema ngumu... but wanawake wachukue moral of the storyAngesema anatokea kwa mpalange usingehangaika kuonana nae ila nguvu ya Dubai imekufanya umkubali kabla hamjaonana teh!
Hadithi yetu inatufundisha tuachane na tamaaa
Hope hukuliwa kweli kama ulivyoandika hapo
Kivipi kakaHii ID Kuna mtu atapigwa na kitu kizito kichwani.
Huu mwandiko Ni wa Mayombi
Kauze nawewe kama unaona nafaidi bro [emoji23]Ina onesha una kiuza kama sio kukitembeza tofauti mazingira tu