Mahojiano ya polisi na Sheikh Ponda Issa Ponda

Chunga...nitakugeuza mjusi sasa hivi na hii hapa... ha ha ha ha ha!

وقف النكات والمتدينين، وأنا هنا أنا أكتب ليس فقط الأكاديمية العربية



nyie chuki zenu na chokochoko ndo zinahatarisha amani. Halafu wakichoma makanisa mnalalamika.
 
matola kumbe we ni mdini ivi?nlikuwa nakuheshimu sana kumbe ni mchafu mno,

uvumilivu naona umeanza kupotea nikifatilia kwenye thread hii naona mod1 anafanya kazi ya ziada kufuta baadhi ya mabandiko inakera sana kwa kitendo kinachofanywa na ponda na wahuni wenzake hata hivyo serikali imemlea sana kitendo cha kutangaza kumchinja binadamu tena kiongozi wa kitaifa hii ilifaa akanyee debe..
 
ni upofu kuamini kuwa mutakuwa salama baada ya kukamatwa na kupigwa kwa waislamu!
uwezo mnao, chinjeni wakristo wote, maana ndo maelekezo ya Mungu wenu na siku mkibaki wenyewe mtakuwa salama kama Syria, Tunisia na kwingineko, kwa taarifa yako hata wewe haupo salama,
 
Hamtakuwa salama kwa kufuraia kwenu kupigwa kwa waislam.Nchi hii yetu sote.munayoyadhihirisha ni machache kuliko yaliyoko vifuani mwenu.Kitaeleweka tu!
mlitegemea nini baada ya kuchoma makanisa?this is the karma=what goes around comes back around
sasa mtaacha upuuzi na kujua maana ya amani
 
Badala watu kuchangia mnaanza kutoa kauli za matusi na kejeli Tanzania tunapoeleka sio pazuri.
Ndio umegunduw leo? tuweke hapa post zako za nyuma wakati mnapromote udini mlidhani mtabaki salama? sasa endeleeni kuwabaguwa watu wa kaskazini maana ndio wimbo wenu hapa.
 
Hivi marehemu mohamed kweli aliwafundsha mfanye hvyo

Usiingize imani kwa ajili ya mtu 1. Unapomuita muhamad marehemu unaashiria niñi je Ungesema muhamad bila marehemu ungepungukiwa sifa? Ficha upumbavu wako eshimu Imani za wenzako
 
Hamtakuwa salama kwa kufuraia kwenu kupigwa kwa waislam.Nchi hii yetu sote.munayoyadhihirisha ni machache kuliko yaliyoko vifuani mwenu.Kitaeleweka tu!

ni kikumbuka makani yaliyochomwa znz, mauji ya huko karatu na singida na uchomaji wa makani unaoendelea kwa kusimamiwa na ponda hakika hata kama angekuwa mama yangu ningefurahia mabaya yakimkuta..
 
Ndio umegunduw leo? tuweke hapa post zako za nyuma wakati mnapromote udini mlidhani mtabaki salama? sasa endeleeni kuwabaguwa watu wa kaskazini maana ndio wimbo wenu hapa.

tulikuwa tukimuonya kwa dhambi yake hiyo leo anavuna matunda anasema mbona hakupanda anataka tumkumbushe alivyokuwa anapatanda...
 
cku zote mlikuwa wapi mpaka hali hii inatokea? bado naona usanii wa kikwete
 
Ndio umegunduw leo? tuweke hapa post zako za nyuma wakati mnapromote udini mlidhani mtabaki salama? sasa endeleeni kuwabaguwa watu wa kaskazini maana ndio wimbo wenu hapa.

Wewe endelea kutukana.
 
Ponda ni mhalifu ambaye serikali imemlea. Ponda kujiita shekhe siyo lazima awe shekhe na wala hakuna uthibitisho kuwa anawakilisha waislam zaidi ya hicho kikundi kidogo cha wahuni.

Vita ya kuuondoa uhalifu wa Ponda na wenzake inahitaji nguvu za watanzania wote kwa pamoja, wakristo na waislam, na hata wale wasio na dini. Matamshi mengi humu ndani yanapandikiza mbegu za chuki kati ya waislam na wakristo, ni muhimu sana kujiepusha na kali na za nmna hiyo.

Enyi Wakristo, hakunamarafiki zenu, majirani, wafanyakazi makazini ambao matendo yao hayaendani kabisa na Ponda? Mkiwaingiza waislam wote kwenye kundi la Ponda, hamtatofautiana na wale wahuni wa Ponda waliolitumia tukio la mtoto mmoja kukojolea biblia kuwa ni tiketi ya kuunguza nyumba za ibada za wakristo wote. Huu ni wakati unaohitaji hekima zaidi kuliko wakati wowote.[

QUOTE=Ritz;4849934]Badala watu kuchangia mnaanza kutoa kauli za matusi na kejeli Tanzania tunapoeleka sio pazuri.[/QUOTE]
 
tulikuwa tukimuonya kwa dhambi yake hiyo leo anavuna matunda anasema mbona hakupanda anataka tumkumbushe alivyokuwa anapatanda...

Wewe utanionya mie unachekesha sana weka hayo mabandiko yangu mtu hakiwa tofauti na Chadema ndio mdini.
 
Back
Top Bottom