''Mungu alisema na mimi kuhusu gharama za dawa na akasema kila atakayekunywa dawa ni Sh500 tu ya tanzania na nilipomuuliza kuhusu wageni alisema dola moja''.Anaeleza mchungaj Mwasapila.
Lakini anasema yeye hakuamini kuhusu kiwango hicho na alipomuuliza Mungu alimletea katika ndoto noti ya sh 500 na kumwonyesha pande zote mbili za noti hiyo akimthibitishia maono hayo.
Alipomhoj Mungu kuhusu mtunza fedha,mwasapile anasema ''Nilimuuliza mungu ni nani atakuwa mtunzaji wa fedha hizo na akanionyesha mtu atakayezitunza''.Mtu huyo ni ni muumini wa KKKT USHARIKA WA SONJO,ILA HAKUTAJA JINA LAKE.
Mwasapila anasema fedha zote zinatunzwa na kwamba Mungu alisema ana kazi nazo,anabainisha kuwa Mungu bado hajatoa tangazo kuhusu ni kazi gani fedha hizo zitafanya.
''Nasubir tangazo la mungu kwamba fedha hizo zitafanya kazi gani,ila yeye alisema zitunzwe ana kazi nazo''.Anabainisha Mwasapila
Ila alienda mbali na kusema'Pengine anataka fedha hizo zitumike kujenga sehemu mpya ambayo tutahamishia huduma,lakini sijui maana alisema atanambia matumizi yake kwa sasa siwezi kujua''
KUHUSUU MAWASILIANO NA MUNGU
Huku akitabasamu mwasapila anasema
''Aaah......yaaani Mungu anasema na mimi mara nyingi na tena ananitia moyo sana katika huduma hii ninayoifanya,hata ninapokuwa na maswali kuhusu jambo fulani katika utendaji wangu yeye ananiambia mambo mengi sana''.
Huyu ndo mwasapila
source Mwananchi la jumamos april 9,2011.
Nawasilisha
Lakini anasema yeye hakuamini kuhusu kiwango hicho na alipomuuliza Mungu alimletea katika ndoto noti ya sh 500 na kumwonyesha pande zote mbili za noti hiyo akimthibitishia maono hayo.
Alipomhoj Mungu kuhusu mtunza fedha,mwasapile anasema ''Nilimuuliza mungu ni nani atakuwa mtunzaji wa fedha hizo na akanionyesha mtu atakayezitunza''.Mtu huyo ni ni muumini wa KKKT USHARIKA WA SONJO,ILA HAKUTAJA JINA LAKE.
Mwasapila anasema fedha zote zinatunzwa na kwamba Mungu alisema ana kazi nazo,anabainisha kuwa Mungu bado hajatoa tangazo kuhusu ni kazi gani fedha hizo zitafanya.
''Nasubir tangazo la mungu kwamba fedha hizo zitafanya kazi gani,ila yeye alisema zitunzwe ana kazi nazo''.Anabainisha Mwasapila
Ila alienda mbali na kusema'Pengine anataka fedha hizo zitumike kujenga sehemu mpya ambayo tutahamishia huduma,lakini sijui maana alisema atanambia matumizi yake kwa sasa siwezi kujua''
KUHUSUU MAWASILIANO NA MUNGU
Huku akitabasamu mwasapila anasema
''Aaah......yaaani Mungu anasema na mimi mara nyingi na tena ananitia moyo sana katika huduma hii ninayoifanya,hata ninapokuwa na maswali kuhusu jambo fulani katika utendaji wangu yeye ananiambia mambo mengi sana''.
Huyu ndo mwasapila
source Mwananchi la jumamos april 9,2011.
Nawasilisha