Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
..Hilo jambo haliwezekani la kuwa milionea kwa kuchaji watu Sh.500 unless anaifanya hiyo kazi kwa miaka mingi. Chukulia hiyo kazi tangu ameianza ametoa kikombe kwa watu 100,000x500= 50,000,000 na kwa hali ilivyo ni wazi hajaweza kufikisha watu laki 1, so sio rahisi kuyafikia hayo mamilioni jamani. Na kadri siku zinavyosonga mbele msisimko wa kwenda kwa babu miongoni mwa watu unapungua na itafika wakati anaweza kupata watu 10 kwa siku maana akili za watu zinaanza kufunguka taratibu na kuelewa kuwa ni kupoteza pesa na muda bure.lo, kazi ipo. so kama zote bado anazo basi kishakuwa bonge la milionaire sasa hivi!
jamani, vikombe hivi?, Mungu atuhurumie wapendwa