Upekuzi101
Senior Member
- Aug 28, 2020
- 134
- 348
Sina mengi ya kusema ila Makonda ukiweza kutatua kero za wananchi on spot, kurudisha uwajibikaji kwenye ofisi za umma maana waajiriwa wote na watumishi wote wapo kwa udhamini wa CCM so unaweza kuvimba nao, huduma muhimu ziboreshwe, ikiwemo shule, hospitali, miundombinu ya maji, barabara na umeme nchi nzima, bila kusahau ukamilishaji wa bwawa la Nyerere ili tupate umeme wa kutosha, miradi mipya ubuniwe na ya zamani ikamilishwe ili kuleta tija kwa wananchi.
Pambana na rushwa, wizi wa Mali ya umma na uonevu Kati ya raia au dhidi ya raia. Ukiweza kuyafanya haya kwa uamnifu mkubwa na watanzania wakaona matoke, mbona wabongo hawana baya hata nchi wanakupa. By the way mfumo wa Chama chenu na nafasi ulonayo, wewe ni kama free player unaweza kuamrisha mifumo ikianza kufanya kazi in that direction na ukaeneza Chama kwa namna yoteyote inayofaa.
Majukumu mema kiongozi.
Pambana na rushwa, wizi wa Mali ya umma na uonevu Kati ya raia au dhidi ya raia. Ukiweza kuyafanya haya kwa uamnifu mkubwa na watanzania wakaona matoke, mbona wabongo hawana baya hata nchi wanakupa. By the way mfumo wa Chama chenu na nafasi ulonayo, wewe ni kama free player unaweza kuamrisha mifumo ikianza kufanya kazi in that direction na ukaeneza Chama kwa namna yoteyote inayofaa.
Majukumu mema kiongozi.