cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 2,161
- 2,529
Safi!
Wajifunze empathy kwa lazima, hata kama hawataki.
Wangeweza kuiunga mkono CCM bila kujifanya wao ni makatibu wa uenezi na hamasa wa chama. Na mbaya zaidi kwa yaliyofanyika 29-02/10 mtu yeyote anayejali utu angejiweka pembeni mwa hili jinamizi.
They are too african to understand this.
CCM imekosa mvuto, hivyo inataka boaster ya wasanii, na wasanii wanatafuta pesa, bila kujua jamii ina mwelekeo gani, kuna kipindi ikuwa kama sifa hivi kujiambatanisha na CCM. Kama wana mapenzi ya kweli na CCM sasa inabidi waonyeshe!