Mambo ya nyakatiWamekua kama wajinga, mara vibao kata kukatika katika kama mijusi.....pambaff kabisa.
Wasubiri kampeni nyingine tena....sio sasa.
🥺🥺🥺 MhhmhNimeoteshwa Lucas Mwashambwa na samia watakufa siku moja na kuzikwa kaburi moja
Hakuna nyimbo za mapenzi tena wala kusifiana na kukandiana.. Nyimbo zinazobamba kwasasa ni nyimbo za ukombozi, nyimbo za hamasa za mabadiliko, mijadala ya kutafuta haki nk
Waombe malengo ya d9 yatimie yasipotimia wamekwisha mazima maana wataonekana wao ndo sababu watu kufeliKwa sasa watanzania wamejua kuwa nguvu ya serikali IPO mikononi mwa wananchi wenyewe... TANZANIA imeishangaza dunia pale tulipoungana kupiga vita udini.
Hao wasanii wa TANZANIA hawajui hatima Yao baada ya Dec 9
Larry anapiga tu kichwani hahahaaaa!!
Kiburi kilikuwa juu sana, acha watumikie matokeo ya kiburi chao
nmeshangaa Ali kiba ametoa nyimbo siku hizi pita kwenye comment zake ni aibu tupu gen z sio poa aisee kumbe everything is possible banna
ZIFEHata simba na yanga saivi hazina tena ushawishi
💯Safi!
Wajifunze empathy kwa lazima, hata kama hawataki.
Wangeweza kuiunga mkono CCM bila kujifanya wao ni makatibu wa uenezi na hamasa wa chama. Na mbaya zaidi kwa yaliyofanyika 29-02/10 mtu yeyote anayejali utu angejiweka pembeni mwa hili jinamizi.
They are too african to understand this.