Mahari ya Single Mom

Vip binti kaolewa ndani ya two years mume kafariki kaacha mtoto huyo hafai?
Vip Kwa binti ambae hana mtoto kuolewa na kijana mwenye mtoto?
binti asiye na mtoto kuolewa na single father ni maamuzi yake.ya kuambiwa atachanganya na akili zake
 
what if kama mwanamke alitegesha mimba?
 
Maneno makali sana

Typed Using KIDOLE

Ukweli usemwe mkuu tuokoe kizazi chetu hali ikiendelea kama ilivyo sasa miaka wanetu watakapotaka kuowa na kuolewa tutajikuta ktk wakati mgumu sana.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Comments za watoto wadogo na primitives zinajidhihirisha wazi. Hayo mambo ya single mother visababishi ni sisi sisi wanaume. Acheni kuropoka upumbavu nyinyi washenzi.
hamna mzee kuna wanawake wanategeshea mimba?
 
Kuwa single mama ni kosa usihalalishe dhambi, ukishakuta msichana ana mtoto na hajaolewa huyo ni MZINIFU! Usirembe wala kupepesa macho wambie Dada zetu wenye nia ya kuolewa waache Zinaa la hasha awe amechagua maisha yake mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ipo hapo kwanini aakuvulie chupi? Mama huruma? Atawaamini wangapi sasa hata baada yako? Kikubwa mabinti wajiheshimu usitete Uovu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu anaweza kumlazimisha mtu kufanya kitu asichokitaka kama hataki, wala sio kosa lako mkuu yeye alikua tayari kufanya mlichotaka kufanya ndio mana amefanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ashaolewa huyo binti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…