Mahari ya Single Mom

mmmhhhh!!!
 
Are you in your senses?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha
Hapana hatuoi masungomaza used thing
Unaweza jikuta umezaliwa ndani ya ndoa ila umtoto wa mchepuko na sio wa baba yako. Implied wewe ni mtoto wa single mother and still unawakashifu wanao oa single mothers.

The good, the bad and the ugly.
 
Noelia,

Povu!!!

Unaandika kwa panic sana unaonekana kama una tatizo mahali elewa unapomtukana mtu aliyejificha kwenye fake IDs unaonekana wewe ndiye hamnazo kabisa, je kwa mfano akawa ni mjomba ako aliyekusomesha ndo umemwandikia huo waraka hapo juu ukijua utajisikiaje?

Wengi 99% waliozaliwa nyuma ya 1990 wana haki kujihakikishia mama zao walikuwa na heshima zao kama wanawake kamili walipoingia kwenye maridhiano na baba zao siyo kama sasa wanaolewa wakiwa makopo tena yale ya vyoo vya city,ukiongea na wazee aged 60 watakueleza kipindi hiko kumtongoza mke ili umuowe ilikuwa inachukua sometimes miaka 3,three years na bado uhakika wa kumpata huna that's why ikawa baba wa mwanaume anaenda kwa familia ya binti kwa heshima ya kukutana wote wazee anaeleza shida ya kijana wake kisha baba wa binti anamweleza mkewe naye anaenda kumweleza mwanae akiridhia kwa ile heshima ya kukutana wazee anakubali wanaowana wakiwa kamili.

Ndivyo ilivyokuwa wakati huo so nyie ambao mpo bado kwa baba zenu na bikra hamna na hata mwaka zilipotolewa hamkumbuki acheni watu wafurahie kuzaliwa kutoka kwa mama waliokuwa kamili waliojua nini maana ya uanamke.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Shida ipo hapo kwanini aakuvulie chupi? Mama huruma? Atawaamini wangapi sasa hata baada yako? Kikubwa mabinti wajiheshimu usitete Uovu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi hakuna sehemu nimetetea uovu hapa,hata wewe inawezekana kuna binti ulijifanya Una long plan naye mpaka akakuamini na kukuvulia ndiyo maana nasema hata wanaume ni chanzo cha hili kwa jicho la tatu,kikawaida tutawalaumu sana
 
Kwa ndoa za siku hizi zilivyo, unaweza uoe fresh from college na ukajuta. Let love lead....kuna jamaa yangu alikuwa na magelofrendi wawili. Mmojawapo alikuwa single maza...akaamua kumuoa fresh from school...mwaka haukuisha..wametalakiana. Jamaa akaamua kumfata singo maza...duh. Mdada wa watu akagoma. Mpaka leo huyu jamaa akili yake haijakaa vizuri.
Huo ni mfano mmoja tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely Bru!!!

Halafu just imagine hapa kwenye uzi wapo vijana hawajaowa na wenyewe wala hawajasababisha maafa kwa binti yeyote ila wanatetea huu ujinga,eti mapenzi....mapenzi ndo ukaowe makopo ya kimbo?nakosa hata namna nyengine ya kuwafananisha zaidi ya kuita tu ni makopo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
So kiongozi unatushauri ambao hatujaoa kuowa mijanamke iliyokwisha zalishwa kabisaaa unakaza na misuli ya mikono?
 
Wanajifanya wapondaji sana kwa wanaume tusio na kipato kikubwa
Much know sana Hawa viumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
......................Em weka vizuri sentence yako,una maana kukosa kwako kipato kikubwa ndo kukusababishie kuowa single mom,umetumia logical gani hadi kuja na kauli hii?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hii chai sasa wewe bikira ya Mama yako uliijuaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni special category kazi ya mungu haiwekewi doubts

Sent using Jamii Forums mobile app
..............................Pia mweleweshe mwanamke aliyefiwa na mumewe wa ndoa ana possibility kubwa kurudi tena kwenye ndoa kutokana na status yake haijakaa vibaya kama ambaye alizini akapeleka watoto kwa wazazi wake.

Pana gap kubwa sana hapa so single mama bado hana sifa za kufananishwa na mwanamke mjane.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Single mother AKA Bombonya AKA BAMBASI usitake nikarudi kwenye utovu wangu wa nidhamu.

Endelea kugawa bombonya lako huko achana na mimi uepushe shari maana yajayo yanafurahisha bi bambasi ulieanza kupakuliwa grade 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…