Elimu bure maana yake ni kitanda ambacho umekitandika nakukaa na kuongeaongea.
Elimu ni usichafue maneno ambayo unaelekezwa
. tafakari time.
Wewe ulieandika uzi unaugulia maumivu! Umenyanga' nywa! what's 2m to a woman you love! A wife material! and probably a learned and employed! In the marriage industry, kanda ya ziwa you will be charged 6 cows in many families. Sasa kaulize ng'ombe pale Pugu ni kiasi gani?
Hahahahhhaa mefanyajeYaani wewe... haya tu
Sisi kwetu tuna utaratibu wa kumuuliza bi harusi mwnyw uwezo wa huyi muoaji ukoje na hatujawahi kudai mahari zaidi ya laki 7 na pesa ya ikilipwa huwa anapewa bi harusi mwnyw
Wewe acha utani mil 2.ina mgodi ndani?Huyo muolewa alipokuwa na umuri wa mwaka mmoja alishatumia zaidi ya hiyo pesa, mbona mmepewa bure? Kwakina Ngosha ng'ombe 15 kwenda juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umeshikiwa bunduki kumuoa mwanamke huyohuyo mkuu? Soko sihuria?
Ndo maana.nimemshauri jamaa.akanunue ng'ombe afuge.huko ni kutiana umasikini.Kwani umeshikiwa bunduki kumuoa mwanamke huyohuyo mkuu? Soko sihuria?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ng'ombe atampa utamu?Ndo maana.nimemshauri jamaa.akanunue ng'ombe afuge.huko ni kutiana umasikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipe tu hiyo pesa kwa miaka iliyobakia kuishi ni ndogo sanaaaa unaweza ukakuta shl 50 kwa siku.Ndugu yangu kaambiwa mali n miln 2 na nusu ...uyo aliemchumbia ni bint wa miaka 20
Sent using Jamii Forums mobile app
Muukize mwenyewe amekutana na nini mwenzio anajua siri ya urembo ndio maana milioni mbili kwake haimuumiziNdo maana.nimemshauri jamaa.akanunue ng'ombe afuge.huko ni kutiana umasikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata za 2,000.utamu si ule ule.bora ng'ombe utakunywa maziwa.