Mahari milion 2 na nusu

Mahari milion 2 na nusu

Khakhaakhaaaaa! athante thana my king.....! Wewe teinaaa najua mahari utamudu tu



Mahondaw wa Smart911
Sitofanya keep change.. Sababu nitaonekana najeuri ya pesa...

Kama leo ulivyoniahutumu mpaka nikakumbia super dear mbona unaongea kwa hasira hivi, kuna nini tena ...
 
Sitofanya keep change.. Sababu nitaonekana najeuri ya pesa...

Kama leo ulivyoniahutumu mpaka nikakumbia super dear mbona unaongea kwa hasira hivi, kuna nini tena ...
Haaaaaaaaaaaaaaaa tena usinikumbushe sazile Smart911 wangu watu nyakunyaku ohoooooooooooooooo! Bado nakuhitaji my king... Nina mambo mengi sana ya kukufanyia as your queen
 
Haaaaaaaaaaaaaaaa tena usinikumbushe sazile Smart911 wangu watu nyakunyaku ohoooooooooooooooo! Bado nakuhitaji my king... Nina mambo mengi sana ya kukufanyia as your queen
Hahaha... Nilishangaa tu, nakupa plans unanishutumu nina jeuri pesa... I was like hey... Why all the panic... Its not about money, its all about time...
 
Hahaha... Nilishangaa tu, nakupa plans unanishutumu nina jeuri pesa... I was like hey... Why all the panic... Its not about money, its all about time...
Lazima nikuwe vile bado nakupenda Smart911 mzungu wangu. A muzungu by heart and character you know what i mean..

You are my pride bebee. Yani naringaaaa
 
Kwahiyo hamtaki kutoa au?
Kama kipato chake ni kuanzia milioni 24 kwa mwaka (That means analipwa kuanzia M2 kwa mwezi) hiyo Mahari ni affordable kwake. Vinginevyo aombe kulipia nusu then iliyobaki atamalizia kidogo kidogo huku akiendelea 'kumtunza' binti yao...
aachane nao,akalimie mpunga atapata gunia 320+,mwakani njaa,atapig hel ya kutosha
 
Bila aibu milioni 2 anauza dhahabu? Kijana, kama mtoto anakupenda mchukue mkaishi mambo mengine baadae mtakachopata mkiwa wote wape wazazi kama zawadi. Aliyesema toa 100000 nyingine mtamalizia nampa tano big up. Kumbuka India mwanaume hutolewa mahari nayo ije kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuja kulia lia hapa?huo ni msingi wa biashara kabisa.
Mimi ni muislam,hayo mambo huku kwetu hayapo.mpaka mkopo unapewa mke.nusu mahari unapewa mke.na wengine mpaka leo wanadaiwa na wake zao mahari hawajamalizia,

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unataka tamaduni, mila na desturi za watu zufuate mfumo wa kwenu wa kuoa? Mshauri jamaa yako aoe huko kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanikumbusha msala mmoja hivi na jamaa yangu Richard.
Tulienda na wazee wawili kwa wazazi wa binti(shemeji yangu kwa sasa), sasa wazee wakaongea mambo yao sisi tuliwekwa pembeni kwanza, walipomaliza tukakaribishwa kwenye kikako, akotokea Mjomba akataja gharama za kumuozesha binti yao jumla ikaja 4.83mil...Rich alipoambiwa hivyo akaomba ruhusa tutoke njee mara moja tukaingia kwenye gari akahesabu pesa tukarudi ndani, akakabidhi ile pesa yote kwa Mjomba mkwe....hahahaaaa huwezi Amini tulitolewa baruuu eti tumewatusi na mikwara kibao tukaambiwa hatuna adabu na mke ndo hatupati.
Eeeeeh hapo ndo nilipojua Mahali huwa hailipwi yote bhana.
 
Back
Top Bottom