Gari utakuwa umeinunua sh. Ngpi?170k*4*30=20.4m
Njoo chemba
Gari utakuwa umeinunua sh. Ngpi?
Manake ni kwamba, 170,000÷7=24,285. Ni hela inayoingia kwa siku.Mwaka mmoja una wiki 52 *2=104+ miez 6 wiki 26 =wiki 1miaka miwili na nusu sawa na wiki 30*170,000 = 22,100,000 faida kwa gar ya thaman ya milion 15 ni milion 7 na lak moja ndogo hyo kama faida kwa miaka miwili
Ni hasara kwa uwekezaji wa milioni 16 unatengeneza m7 kwa mwaka.Maana gar tuchukulie ist mpaka vbal kila kitu mathslan 16.5m baada ya mda husika akipata hata faida ya m7 sio mbaya mana ni biashara
Biashara kichaa kweli hiyoTuchukulie mfano ukampa ist,ya ml 15,yaan mdani ya miaka 2.5 uingize mil 5 tu,biashara kichaa hyo
Ni hasara kwa uwekezaji wa milioni 16 unatengeneza m7 kwa mwaka.