Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!
Tushamsahau huyo kilaza
 
Mimi siwezi kumuongelea Muheshimiwa Maharage kwa kuwa nipo huku Nje hivyo sijui yaliyokuwa yanaendelea huko ndani ILA nina ushauri
Ukiwa kiongozi unatakiwa ujue kipimo wanachokupima nacho wale unaowafanyia kazi ili ukijumlishe kwenye kipimo (goals) zako; kwa upande wa Muheshimiwa hapa namaanisha ajue kipimo wanachompima nacho wananchi...
Mfano:
1. Wananchi wanataka umeme wa uhakika
2. Bei rafiki ya huduma zinazo ambatana na umeme (kufungiwa, gharama kwa unit nk)
3. Kupata majibu/Msaada kwa haraka mara wanapopata changamoto
4. Hivi kuna haja gani ya mwananchi masikini kusafiri hadi wilayani kuomba zero tarifu wakati TANESCO wanaweza kuona mita ina pengine mwaka mzima haijazidisha matumizi ya unit 40 kwa mwezi? najiuliza tu
5. Hadi leo karne 21 bado hatuna technologia ya kuweka umeme kwenye Mita (token iende moja kwa moja kwenye mita mtu akinunua?)

Sasa hata akilala ofisini akifanya kazi kama wananchi hawataona matokeo ya hayo niliyotaja (kwa uchache) wanaweza kufikiri ni Business as usual...Kumbe alikuwa anafanya kazi nzuri ila kwa kipimo tofauti na cha wananchi
 
Mimi siwezi kumuongelea Muheshimiwa Maharage kwa kuwa nipo huku Nje hivyo sijui yaliyokuwa yanaendelea huko ndani ILA nina ushauri
Ukiwa kiongozi unatakiwa ujue kipimo wanachokupima nacho wale unaowafanyia kazi ili ukijumlishe kwenye kipimo chako; kwa upande wa Muheshimiwa hapa namaanisha ajue kipimo wanachompima nacho wananchi...
Mfano:
1. Wananchi wanataka umeme wa uhakika
2. Bei rafiki ya huduma zinazo ambatana na umeme (kufungiwa, nk)
3. Kupata majibu kwa haraka mara wanapopata changamoto
4. Kuna haja gani ya mwananchi masikini kusafiri hadi wilayani kuomba zero tarifu wakati TANESCO wanaweza kuona mita ina pengine zaidi ya mwaka mzima haijazidisha matumizi ya unit 40 kwa mwezi?
5. Hadi leo karne 21 bado hatuna technologia ya kuweka umeme kwenye Mita (token iende moja kwa moja kwenye mita mtu akinunua?)

Sasa hata akilala ofisini akifanya kazi kama wananchi hawataona matokeo ya hayo niliyotaja (kwa uchache) wanaweza kufikiri ni Business as usual...Kumbe alikuwa anafanya kazi nzuri ila kwa kipimo tofauti na cha wananchi (waajiri wake)
bahati mbaya mwajiri ni mteuaji siyo mwananchi kama ulivyosema!

kwa hayo uliyosema MAHARAGE tayali alikuwa anayafanyia kazi, nilitembelea banda la sabasaba mwaka huu Tanesco mita zote mpya zinazofungwa ni Smart meter! yaani ni mita ambazo zinasapoti hiyo automatation Ambayo wana mpango kuunganisha taarifa na simu ili ukiweka umeme uchague uingie moja kwa moja au bdae!

Yote hayo huyu jamaa mkurugenzi kafanya,
kuhusu ishu ya taarifu tayali kaweka one stop center ya kupiga simu ukiwa nyumbani au kupitia application yao mpya ya nikonekt ambayo unaweza kutoa taarifa ya maombi na malalamiko na taarifa zikafika!

huyu jamaa kusema ukweli mimi sijui kusifu ila alikuwa mkurugenzi bora sana ningekuwa naweza Namshauri Rais Amrudishe huyu jamaa TANESCO
 
Mimi siwezi kumuongelea Muheshimiwa Maharage kwa kuwa nipo huku Nje hivyo sijui yaliyokuwa yanaendelea huko ndani ILA nina ushauri
Ukiwa kiongozi unatakiwa ujue kipimo wanachokupima nacho wale unaowafanyia kazi ili ukijumlishe kwenye kipimo (goals) zako; kwa upande wa Muheshimiwa hapa namaanisha ajue kipimo wanachompima nacho wananchi...
Mfano:
1. Wananchi wanataka umeme wa uhakika
2. Bei rafiki ya huduma zinazo ambatana na umeme (kufungiwa, gharama kwa unit nk)
3. Kupata majibu/Msaada kwa haraka mara wanapopata changamoto
4. Hivi kuna haja gani ya mwananchi masikini kusafiri hadi wilayani kuomba zero tarifu wakati TANESCO wanaweza kuona mita ina pengine mwaka mzima haijazidisha matumizi ya unit 40 kwa mwezi? najiuliza tu
5. Hadi leo karne 21 bado hatuna technologia ya kuweka umeme kwenye Mita (token iende moja kwa moja kwenye mita mtu akinunua?)

Sasa hata akilala ofisini akifanya kazi kama wananchi hawataona matokeo ya hayo niliyotaja (kwa uchache) wanaweza kufikiri ni Business as usual...Kumbe alikuwa anafanya kazi nzuri ila kwa kipimo tofauti na cha wananchi
Br uwe na point mpaka nimetamani kuhamia huko ulipo
Any way huku majenereta ndio mpango mzima halafu angalia wauzaji kina nani utajua hujui
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Mmoja ktk watz saba wametambua kazi za Huyu bwana
 
Ila watanzania 🙌
Mbona hamkuyasema haya kabla, Zaidi mlikua mnasema kua maharagwe kawekwa na January ,Mara sijui call centre ya tanesco Ni mradi wake wa upigaji
Aisee ,hii nchi ndio maana watawala wanaiendesha wanavyotaka maana Sisi wananchi tunaonekana hatujui tunachokitaka
 
Back
Top Bottom