Mahakimu watoleana bastola kisa msichana Dodoma

Mahakimu watoleana bastola kisa msichana Dodoma

digalangosha

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
1,574
Reaction score
2,292
Habarini wakuu

Nikiwa safarini jijini dodoma nilienda bar moja ipo eneo la makole, kuna meza walikua wamekaa mahakimu na binti mmoja....baada ya dakika chache alitoka binti mmoja nje na mwanaume mmoja kutoka kwenye meza hile wakawa wanaongea nje, then akatoka na mwanaume mwingine kwenda nje....gafla ilizuka vurumai na mmoja wa wanaume hao alitoa bastola na kusababisha bar nzima tukaanza kutafutana...

Dakika chache badae yule mwanamke aliondoka na mwanaume mmoja, na yule mwanaume mwingine aliyeshikiwa bastola alibaki huku akilalamika kuwa kashamgharamikia sana huyo demu...

Dada mwenye grocery badae palivyopoa ndio akatupa abc kuwa, hao ni mahakimu na walijikuta wote wanatembea na mwanamke mmoja, lakini badae hakimu mmoja alikua na uchumi zaidi ndio kumnunulia huyo binti brevis mpyaaa, na ndio ilipelekea huyo mwingine (mnyonge) kuwa na kinyongo..

My take:
Watumishi kuweni makini na maugomvi haswa kwenye mabaa huku mnatia aibu...sasa kwa tukio kama hili ambalo am sure lishamfikia mtendaji wa mahakama, mnaweza shangaa mnapigwa chini bure...
 
Tuma Majina kwa siri serikal ya Dr haina mchezo na uwozo huu.
 
hao Mahakimu bado vijana, mbunye tu wanashikiana bastola
kwanini asisubiri zamu yake? hii kitu hakina makombo
ajitahidi kurudia kwa wakati wake aongeze manjonjo anaweza kuoa
na mwenye bastola akaachwa
 
Sasa si wangeuana tu hao wajinga kwanini walisitisha.

Yani mtu anataka kuua kisa malaya.
 
I wish huyo binti angepata mkali wa CBE amunyoshe hadi hakimu ajishuti na bastola yake[emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom