Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,750
Bila shaka huyo dada alikua kavaa wigi au kashonea weaving....
Bila shaka huyo dada alikua kabost maziwa,
Mwisho.
Bila shaka huyo dada alikua kabost maziwa,
Mwisho.
Serikali haifukuzi hakimuNgoja wapigane risasi ndio utajua serikali haifukuzi au inafukuza Hakimu,acha story mkuu!
Huyo dem lzma Ana churaa tu [emoji23][emoji23][emoji23]picha ya demu iko wapi ?
Dr. wako mwenyewe alishayapitia hayo. Ulizia Dodoma hotel about 8 years ago. Mhagama shaidi na mhusika alikuwa madini. Ni enzi zile hatuna udaku ingekuwa sasa hivi mhuuu.Tuma Majina kwa siri serikal ya Dr haina mchezo na uwozo huu.
Hio serikali ya Dr. imemchukulia hatua gani ole Sabaya kwa kuchukua mil. 10 za mfanyabiashara kwa nguvu?Tuma Majina kwa siri serikal ya Dr haina mchezo na uwozo huu.