Umepitiliza sana. Hawa uliowataja ndio wabovu wa rishwa. Wanakula kitu kidogo usiombe...
Tatizo Majaji hawana sifa wanachaguliwa kwa upendeleo na hivyo hawezi kutenda haki. Unamkumbuka Mashuri aliyewafunga Mbowe akapewa Ujaji? Huyo hawezi kutenda haki katu....
Akina Mugasha wa kesi ya MaDED kusimamia uchaguzi, aliboronga sana huyu mama, hovyo kabisa